Ukiwa TAZARA chukua barabara ya Nyerere kuelekea Posta nadhani nikabla ya RTD/TBC siku hizi kuna barabara moja matata sana kwa kifupi ni korofi sijui siku hizi hiyo barabara inainga mkono wa kulia kama upo barabara ya Nyerere kuelekea Posta. Au ukifika TAZARA Uliza tu kiwanda cha ALAFU KIPO WAPI...
Hiyo haiuzwi kwa Bandle Kiongozi namm nilichukuwa bati kulingana na uhitaji wangu so walinikatia kulingana na uhitaaji wangu kulikuwa na za mita moja moja, mbili na nusu, za mita tatu hadi mita sita kama sio sita ni saba so ilikuwa inategemea na kila upande wa paa una urefu kiasi gani na bati...
Sijasema kuzungushwa umbali mrefu ndo ubora kiongozi! Mimi nimezungumzia ALAF kwa sababu nimeliezekea na kiwandani nilipata fursa japo ya kushangaa nini kinafanyika au wewe umeezekea bati gani kiongozi
Binafsi mm nalikubali bati la ALAF na ndilo nililoezekea nyumba na nilienda kuchukuwa kiwandani kwa vipimo nilivyokuwa navihitaji, asikwambie mtu bati lina miaka minne kasoro lakini utaliona chafu kipindi cha kiangazi kama lina vumbi hivi sasa ngoja mvua inyeshe utadhani ngozi ya nyoka...
Wana jukwaa habarini za leo
Napenda kuongea nanyi juu ya hili tatizo ambalo sikujua kama ni tatizo kubwa hadi pale ndugu yangu mwanaye alipougua.
Ipo hivi; ndugu yangu anavijana wanne na kati ya hao kijana wake wa pili ambaye mwaka jana alikuwa darasa la saba alianza kusumbuliwa na mgongo ila...
Nawewe naye kama Punguani yaani unapenda maumbile madogo ya mume wako mtarajiwa ila hupendi maumbile madogo kwa wanenu watarajiwa, kwani unatarajia maumbile ya wanao yakuhudumie wewe pia au? Wewe sema tu hupendi hayo maumbile!
Sisi huku ndo tunaona mambo a kijinga ila kiukweli hawa wenzetu waishio huko majuu kitu kama hiki wanakipenda sana kutokana na nchi wanazoishi kuwa na democrasia thabiti! Tena hawa wa je ndo wanaweza kuacha kazi hata mwezi ili waandamane!
Ondoa wasiwasi ipo siku atakunya tu! Ila kama anatumia maziwa mbadala na humpi maji, jitahidi sana kumpa maji, hata kama anatumia maziwa ya mama na maziwa mbadala kwa wakati mmoja!
Wasalaam wana JF!
Poleni na hizi mvua jamani ila ninaomba tubadilishane mawazo kidogo juu ya mada tajwa hapo juu tafadhali!
Katika mwaka wa fedha 2015/2016, Bunge lilipitisha bajeti ndogo sana kwa Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ambapo wanasiasa walitueleza kuwa bajeti ya CAG...
Toka huyu jamaa anayeitwa Magumashi aingie Madarakani yeye kila kitu anataka azindue yeye tena akiwa Mubashara kwenye Runingaz! Huwa najisemea hivi hana mambo mengine mbadala yakufanya so anataka tumuone anafanya kazi kubwa sana kwa Taifa hili kuliko watangulizi wake au keshajiona amechuja so...
Huyu jamaa hajielewi, wawekezaji hajui kuwalinda anajifanya yeye ni jeuri alafu leo anaomba maaskofu waliombee, huyu sidhani kama alistahili kutuongoza. Hata kama tukiomba na yeye haombi na wala hataki kubadilika anadhani ni mwekezaji yupi atakuja nchini ajenge kiwanda au viwanda kwa jinsi yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.