Swali kwa viongozi wa tanganyika kama kweli zanzibar haitaki muungano kwanini muwanganganie na kama hakuna uchumi mzuri kwanini hizo pesa msisaidie walala hoi wenu ? ..Kunanini zanzibar mpaka muwanganganie jibuni hoja?
Maisha hupangi wewe hakuna anaejua ya mbele la zaidi kama kweli tunapendana ni kuombeana kheri sote sio kutofautiana kisa siasa tuacheni hayo tuomben amani tu
Me nakumbuka kabla ya kuungana na znz. Tanganyka ilikua na katiba yake sasa ukisema tutengeze katiba yetu itakua kumbe znz haikuungana na nchi bali iliungana na pori fulani 2 ivi .katiba ya tanganyika ipo 2sipoteze muda kujadili hilo bila katiba mbili kusingekua na muungano ..Tanganyika oyee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.