Mwalimu Osca wa shule ya msingi Namanyere mkoani Rukwa amehukumiwa jela miezi 6 baada ya kuitelekeza familia yake na kuhamia kwa kimada, akitoa hukumu mheshimiwa hakimu alimwambia mkosaji akitoka jela alee familia yake yenye mke mmoja na watoto 2.
Na Tausi Ally, Mwananchi
Dar es Salaam. Mkurugenzi wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu gerezani, ameiomba mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imfutie shtaka hilo na kumuachia huru kwa madai kuwa kesi hiyo...
FROM THE DESK OF BCom, BCompt (Hons), CA (SA)
First Rand Limited and First Rand Bank
FirstRand
GREETINGS,
I am Mr. Kgotso Buni Schoeman, BA Economics Advanced Financial Management Diploma is Non Executive Director of Firstrand Ltd.and also currently CEO of Kagiso Trust.
I am writing to...
Nimeamua kuhama nyumba niliyo kuwa naishi baada ya mama mwenye nyumba kunizushia ya kunizushia wakati sijawahi hata ingiza binti kwenye ghetto langu, nikaamka saa 3 maneno, nikirudi saa 2 usiku maneno nikirudi saa 5 usiku maneno, nikijipikia ugali na nguru maneno yaani shida tupu huyu mama...
Ni dhahiri shahili CCM kuelekea ukingoni mwa mwaka huu wamejipanga kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda, ni kweli sasa hivi CCM inatumia vijana kwa vibibi kwenye mitandao ya kijamii kupiga propaganda na kupotosha umma, kwa hili naona wamefanikiwa kwa kiasi flani kufanya siasa kwenye...
makada wa CCM wakiwa wamembeba juu mwenyekiti mpya wa chipukizi mkoa wa Iringa
kamanda wa UVCCM mkoa wa Iringa Salim Asas kushoto akimkaribisha mwenyekiti wa chipukizi mkoa Enock Luhala mara baada ya kutangazwa mshindi katika uchaguzi mkuu wa Chipukizi mkoa
Kamanda wa UV CCM...
Wanawake toka visiwa vya Unguja na Pemba wameandamana kupinga wanawake wa kutoka Tanga kuwaibia wanaume zao. Wanawake hao wamedai waume zao wakinaswa kwenye mapenzi kwa wanawake toka Tanga basi waume zao wanazamia moja kwa moja na kusahau wake zao majumbani.
Source: mm mwenyewe nimeshuhudia...
Leo ni burdani ya kufunga mzunguko wa kwanza.
Taifa kutakuwa na hitimisho kati ya Yanga v/s Jkt Oljoro saa 10:00 jioni.
Chamazi kutakuwa na wababe hawa wanaongoza ligi kati ya Azam v/s Mbeya City saa 10:00 jioni.
Sijajua Azam TV wataonyesha game ipi.
Kwa updates zaidi ni hapa hapa JF...
Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoa wa Iringa Frank Leonard kulia akitoa msimamo wa wanahabari dhidi ya gazeti la Rai na mbunge Msigwa leo ,kushoto ni katibu mtendaji wa IPC Francis Godwin
Wanahabari Clement Sanga kushoto akiwa na mwakilishi wa New habari {2006}...
Baadhi ya wahitimu wa chuo kikuu cha Iringa (Tumaini) ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wakitumia usafiri wa punda kwenda chuoni katika mahafali yao kama walivyonaswa na mtandao huu wa matukio daima juzi eneo la Kihesa Minyarani katika barabara ya Iringa -...
Huyu ni staa wa mpira aitwaye Zlatan Ibrahimovic akiwa katika wakati mgumu baada ya mzigo wake kuvimba akiwa uwanjani
Taarifa zinaarifu kuwa, mzigo huo ulivimba baada ya mchezaji mwenzake kumkumbatia kwa nyuma..
Wakuu mpwa wangu anasumbuliwa na busha sana tu natafuta Clinic nimpeleke wakampasue ili apone yupo Dar nataka nijue na bei zake za upasuaji wa busha hilo. Msaada tafadhari mpwa amechoka kujambishwa
Mrembo huyu ni mjeda katika jeshi la Nigeria hapa alitii amri ya rais Godluck kwenda kulinda amani kwenye machafuko huko Kaskazini mwa Nigeria dhidi ya Boko Haram.
Sipati picha kama hawa jamaa wangekuwa Mabrigedia Katavi, The Boss, Asprin, Kaizer The Finest, Bigirita huyu mtoto angepata tabu...
Hapa akiwa amelala hajitambui baada ya kupata kipigo
Hapa wananchi wakiwa wanashudia jamaa akimpa kichapo mkewe baada ya kumfumania
Picha hii jamaa amembeba mke wake baada ya kumfumania na kumpa kipigo kikali wakielekea nyumbani.
Tukio hili limetokea leo asubuhi mida ya saa 8.00,katika mji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.