Kaka mimi mwenyewe nilijaribu kutoa suggestion ya kutofanya sherehe, the lady alikuja juu sana kukawa na ugomvi mkubwa. Na akasema kabisa kama sina mpango nae nimwache mapema. Akadai hio ni kumdhalilisha....na machozi juu. Sijawahi kuelewa hizi sherehe kwann zinakua na umuhimu sana kwa wadada...
Wanaume wengi sana wangependa kufanya hivi....tatizo ni vigumu sana kupata mdada ambaye atakubali hii. Wengi wamefanya sherehe ili kuwaridhisha wenza wao ama wazazi
Inategemea.kuna wengine hata usaliti sio shida kwao.wengine sababu ndogo tu wanaachana. Nishawahi kuachwa na a lady kisa nina big dick. Haikuniingia kichwani sababu mwanamke ni elastic na baada ya mda pussy huzoea.
Angesaidia hata kwa mkopo.
Nilikua na mmoja kila siku anasema hata njaa tutalala ama tutashindia mkate.
Siku nimekatwa mshahara tu na kuchelewa kumgea hela ndani ya wiki nikaona mabadiliko makubwa..and this was somebody I planned to marry
Hoes aint loyal
Naona mapenzi ni uchawi flani.kabla nimpate dada flani hivi,nilizoea kubadilisha wanawake sana.kumwacha mtu ilikua ni kazi ya dakika th.
Nikampata dada flani stress kibao lakni kutoka hutoki..kugombana every day but unakomaa tu.hatimaye nikamwacha lakni kwa shida sana.
Habari zenu wana JF,
Could anyone suggest theatre rooms where I can watch a play or something. preferably in arusha or dar...nipo interested sana na sanaa na sijajua mahali ninaweza kuspend my free hours..
Suggestions will be appreciated
Shukran wote in advance
Duh.kwani Siku hizi ndoa ni kama ku apply kazi?
my brother if u failed to get someone from your sorrounding/connections,something is not right with you.there are thin chances you will get one here.
Summon the courage to approach that lady with MOST but not ALL quality you want.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.