Habari zenu waungwana wa jukwaa la mmu, Naamini jukwaa hili kama litaendelea kutumika vizuri litakuwa ni msaada kwa wengi, wanaume na wanawake. Kupitia hapa nimejifunza mambo mengi ambayo mengine huwezi yapata ukiwa shuleni. Kwa mara ya kwanza najitokeza kitafuta msichana ambaye yuko tayari...
Wewe mtoto jipange upya,usisingizie baraza,yaani wewe masomo manne yote makers wanakukosesha kwani wanabifu nawe? Ushauri dont waste time and resources jipange vizur urudie mtihani.
Dada regia hongera,angalau robo ya wabunge wangeweza kutoa tathmin ya waliyofanya majimbon mwao kwa mwaka mzima kama ulivofanya ingekuwa nzur sana,good job.
Skilizen watan wangu wa cuf,hv ni kwel kabisa hamjui ni kwa nin umaarufu wenu umeshuka na utaendelea kushuka zaid kama msipoamka mapema, sababu ni hii ila msiwaambie wenzenu'nyie ni ccm kasoro jinatu.byeeee.
Haya mambo wameshafanya maamuz serikaln kitambo kuwa umeme lazma upande hvyo hyo kesho hata tuchangie tukiwa uchi wa mnyama watapandisha tu,hil ni sikio la kufa ,tunalalamka posho bungen lakn wap,twalalamika sheria ya mswaada wa katiba lakn wap,hii serikal imechooka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.