Mzee huwa ni kawaida kuhakiki taarifa za kuambiwa ndiyo kilichonifanya kuandika just in case kama kuna mtu anaufahamu zaidi, wao hiyo ilikuwa ni sehemu ya story za kwenye gari,
Ndugu wapendwa napenda kujuwa kuhusu biashara ya fedha za kigeni (usd/ tshs) zinazofanywa kwenye mipaka yetu hususa Tunduma, nilipanda gari za IT zinazoenda mpakani, ndani ya ile gari kulikuwa na vijana watatu ambao ni watanzania katika kupiga nao story walinieleza wao huja dar toka tunduma mara...
Habari wana jamii, nimekuwa nasikia kupitia watu mabalimbali kuhusu biashara ya miti ya mitiki, binafsi nimepanda hii miti kwa ajili ya kulinda shamba huko
Msata miti imefika miche 2400 na nipo mbioni kupanda hadi kufikia miche elfu sita, ila kila nikikutana na watu wananiambia hiii ni...
Habari za leo wakuu, napenda kuuliza wapi naweza kubadili dolla 100 ya kimarekani ya mwaka 2003? nimepita kwenye bureau nyingi hawachukui mpaka iwe ya 2006 na kuendelea, hata Barclays Bank wamekataa, kama kuna mtu anafahamu wapi nitabadili natanguliza shukrani zangu
Habari za leo wakuu, napenda kuuliza wapi naweza kubadili dolla 100 ya kimarekani ya mwaka 2003? nimepita kwenye bureau nyingi hawachukui mpaka iwe ya 2006 na kuendelea, hata Barclays Bank wamekataa, kama kuna mtu anafahamu wapi nitabadili natanguliza shukrani zangu
Serikali kama inataka kuvunja huo mtandao inabidi waahamishe wakazi wote wa hapo kuanzia mkuranga mpka kibiti eneo hilo litengwe kwa ajili ya viwanda na kisha wao watawanywe sehemu mbalimbali kama turiani,ludewa, tandahimba na kwingineko ambako hawatakuwa na muda wa kushirikiana karibu!!!!
Mnajuwa Nature is the RIGHT answear! siku zote ukiona sehemu kuna milima basi ujuwe kuna sehemu nyingine kuna mabonde, ukiona mtu ana faraja basi elewa kuna mwingine anayo huzuni, ukiona leo umepata wa kukupoza moyo fahamu kuna mtu ameumizwa kwa raha kama hiyo unayoipata kwa wakati huo upande...
Lazima tuwe wa kweli ni ngumu sana kwa mapenzi ya mbali kudumu couples wengi ila siyo wote hali hii imeshinda kuna some % ya kudumu ingawa likikuta ndiyo utakuwa na uwezo wa kueleza zaidi.
Haya tumekusikia lakini pakuanzia ni hapo kwenye vyeti Makonda aonyeshe vyeti vyake na then aseme ukweli kuhusu haya ya BASHITE ataaminika 100% kuwa anaandamwa for no good reasons.
Jamani mwenzentu anapitia wakati mgumu sana, wengi wetu tumepitia hayo anayopitia kiufupi it will take time kwa yeye kuwa vizuri sote tumepitia hayo,mimi namshauri ajuwe kuwa hayo maumivu kwake yanampa faraja sana huyo x wake kwani nature huwa ina balance kila kitu hapa duniani. Unavyoumia moyo...
Nadhani tatizo siyo JINA,tatizo je hicho cheti ni cha kwako? NO MATTER majina tofauti? hapa kinachotakiwa ni kuonyesha kuwa cheti ni chako bila kujali majina maana tunataka kuona score card ni wewe kweli?
Pole sasa dada kama ulivyosema mapenzi yanauma, najuwa maumivu uliyonayoo,kwa vyovyote sasa hivi huna maamuzi ya kuondoka kirahisi maaana ni jambo ambalo hukupanga!!!!!! haya hutukuta wote wanaume kwa wanaume na kwa hali ilivyo naamini lazima binadamu apitie mauumivu haya maishani. Nakushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.