Kama hujui nyamaza acha kudanganya watu SMG means sub-mashine gun, inaitwa sub sababu inabadili mapigo tofauti na SAR ambayo ni semi automatic riffle ambayo ukipiga lazima ukoki tena ili upige.
Hivi unajua kama watu wanataka kukuibia alafu wakajua kuwa una bastola, hatua ya kwanza ni kuuawa ili usimzuru yeye hivyo ni bora usiwe nayo ili hata akitaka Mali kwako anaweza kuchukua alafu akakuacha
Kwa watu watokao sehemu za iringa, njombe, mbeya na songea ni vitu vya kawaida kusikia hela za manyoka, hiyo nyoka ndiyo mpango mzima wa kuleta hela ndani, inafungiwa kwenye chumba special na anayetakiwa kuiona ni muhusika tu, kwa mwezi anaingia chumbani mara moja utaikuta imevimba imejaa hela...
Huku tunapoelekea ipo siku mtu atashikwa tako na itakuwa poa coz hatujui hata mipaka ya viongozi wetu, yeye alitakiwa aagize kwa mkuu wa chuo awachukulie hatua walim hao na si kuwasimamisha yeye. Tujitambue jamani
Kweli Sauti wazuri kielimu hata ukienda na dv 4 ya form 6 utasoma kozi mwaka 1 then utaingia digrii. Sio kama mlimani wao ni dv 1 na 2 tu, dv 3 labda engineering
Pengine sikukuelewa, ulivyosema kipo nikajua Tanzania kuna mtu anacho ndio maana nikabisha,vyeo vya tpdf navijua tangu mtoto na hakuna mtu aliyewahi kupewa cheo hicho tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.