Habari wanajukwaa,
Laptop yangu inazima ghafla, yaani ukiwasha inakaa kama sec 30 hadi dakika 1 then inazima ghafla. Shida itakuwa nini?
Msaada tafadhali
Habari wana jukwaa.
Nikiwasha laptop yangu kuna hii message inakuja, na hata nikibofya OK bado inarudi hadi ufanye hivyo angalau mara 10.
Msaada jinsi ya kuiondoa tafadhali.
Tatizo lilianza siku nilipo install ARCGIS kidha nika uninstall ndo hicho kimessage kikaanza kuja kila niwashapo PC...
*MASIKINI HIVI PUNDE TU TULIKUWA NAE.*
.
[emoji733]...Alikuwa ni mtu mwema na mwenye bashasha na kila mtu..
Nani ambae alikuwa hamjui kwa ukarimu wake..alikuwa ni mtu nadhifu na kipenzi cha watu wengi..
[emoji733]Imam Ghazal ra anasema kuwa mauti yanatisha sana lakini wengi tumeghafilika nayo...
Wana jamvi samahani kama ntakua nimewasilisha mada kwa jazba. Kiukweli hawa Airtel wananipa karaha pale unapompigigia mtu simu na badala ya kukwambia kwanza kama namba unayopiga haipatikani au inatumika, wanaanza na matangazo ...Tena marefu kweli.
Sioni kama ni vema kufanya hivyo, nashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.