mijitu mingine migumu sana kuelewa mtoa post katafsiri kinadharia kabisa walimu kutopangiwa vituo maana yake haijawaajiri na haina fedha za kuwalipa, mishahara na fedha ya kuanzia, kuhusu wazabuni wa serikali ni kweli hatujalipwa ndo maana miradi mingi imestop, hazina iko empty fedha nyingi...
kuna msemo unasema cheap popularity has got a price, muda wote zitto amekuwa akihubiri kuwa ana majina ya watanzania waliohifadhi mabilioni uswisi na mara ya mwisho aliwaahidi watanzania kuwa atawataja katika kikao cha bunge kinachoendelea sasa, baada ya mwanasheria mkuu kumbana sana apeleke...
aje aone moto utavyomuwakia, mbeya tunajitambua, hatupapatiki na wanasiasa wanaoenda kula viapo kwa waganga, alisema ana majina ya watu wenye mabilioni uswisi, werema kambana akakiri tena kwa kiapo hana hayo majina, CHEAP POPURALITY HAS GOT A PRICE
leo kamati ya wizara ya nishati na madini, tujadili hotuba hizo ukichukulia umeme unaelekea kupanda, sio huu ----- ambao upande mmoja haujahojiwa kukiri au kukataa
huyu william baada ya kupigwa chini ktk kinyang'anyiro cha ubunge wa EA na akili yake ishazuzuka, hata vioja vyake ktk fb havina mashiko kabisa ni mademu tu ndo wachangiaji wake, na anavyohaha sasa hivi kafungua kablog hajui kuna blog zaidi ya buku tano hapa bongo, what's up nyingi anadhani hapa...
waswahili ndo maana tunakuwa maskini wa akili na mali, usiamini ujinga mwishowe utakuwa chizi, huyo shetani na mungu umewahi kuwaona? seeing is believing
mnafiki tu hata alipokuwa anatoa ripoti ya richmond kuna mengi aliyafichana leo riport ya ugonjwa wake kuna mengi kayaficha, hatuna muda wa kusikiliza upupu usio na mbele wala nyuma ni bora angekaa kimya kuliko kutoa mipasho ktk media
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.