Baadhi ya maaskofu wanavuruga kanisa. Angalia kule Rukwa Dayosisi ya Ziwa Tanganyika Askofu Mwa... alivyovuruga kanisa. Mbeya Askofu Mwa... nae kavuruga. Sasa Dayosisi ya Mashariki na Pwani mwingine tena Askofu Ma... amelianzisha. Nyie akina Mwa... kutoka Mby Mungu anawaona
Kwa kweli NHIF wanatuchanganya. Leo nimeenda NHIF office iliyoko USHIRIKA LUMUMBA wakaniambia zile package tatu zilikuwa ni kwa majaribio. Sasa hazipo. Bima ya mtu binafsi ni sh.1.5 milioni kwa mtu mmoja sio kama ilivyokuwa in cover familia ya watu 6. Pamoja na hiyo kuwa ya mtu mmoja tu huduma...
Unajua kitu kinachoendelea kwa sasa Africa ni issue ya Mugabe. Kilichotokea kwa Mugabe, ni kama kilichotokea kwa Gadafi na ku spread to some Northern countries. Ni kama viral diseases. Sasa ili kupotezea na kuwasahaulisha watu ni kuja na issue ambayo ita-dilute mjadala wa Mugabe. Ndio issue kama...
Namshangaa na ninashindwa kumuelewa huyu mtu anayeshangilia na kushabikia kwa kile anachokisema kufa kwa upinzani nchini. Sijui kama huyu ndugu anajitambua!! Pole zake na afikirie tena mara mbili kwa hiki anachokifurahia!!
Tumpotezeeni huyu kijana asitupotezee muda. Alikuwa anasubiri nini siku zote alifikiri tungefanya kosa kumkaribishe ili aendelee kulikisha siri za chama. Aishie zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.