huko kijijinh mwarabu alitoa ushuzi kwa sauti ya juu pale mkutanoni watu walimcheka na asiwe na furaha ikawa kila alipopita taarifa ni moja tu mwarabu kajamba mkutanoni mwarabu alihama kwa aibu kwa muda wa miaka kumi baadae alirudi akiamini watu watakua wamesahau akiwa njiani akawakuta akina...
tena huko hakuna mzaa mzaa jambo la kwanza Nke wa Ntu nawe utaveshwa shanga kiunoni mambo mengine utayaona kadili matendo yako yanavyozidi kuonekana au kupungua ata icho khdogo ulichonacho utanyang'anywa apewe mwenye kingi huku unaona ASANTE.
wakati wa maombolezi si muafaka kutafuta mchawi inalilahi wa ina ilaih rajuun aswa kwa tatizo ili mwenyezi mungu lipige ghalika lipotee katika uso wa nchi yetu na dunia kwa ujumla AMEEN.
inalilahi wa inahilai rajunVictor ndiyo nini? Una hakika ndo jina lake halisi? Unajua watu huwa wanakodiwa wakafanye uhalifu? Unajua aliyemtuma? Unajua njaa inaweza ikakufanya ukaua hata baba yako mzazi? Umeshamhoji akakwambia alitoa wapi hilo bomu? Ameshakwambia aliyemtuma? Ameshakwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.