Mimi nadhani tusimshutumu Mbowe eti siasa uchwara. Ni nani asiyejua kuwa CCM walisubiri uchaguzi ukaribie ndiyo wagawe msaada wa chakula kwa watu wa Igunga. Hiyo ni rushwa ya mchana kweupe. Hata kama hawaku-itend itumike kama rushwa mtu yeyote mwenye akili timamu atajua kuwa timing ya huo...
She is not serious. Amezidi mno kuwa shabiki wa CCM/UKADA umemharibu hajui hata kanuni za Bunge vizuri.
Nadhani hakustahili kupewa ile nafasi ila CCM walimchomeka tu pale kwa maslahi yao binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.