Ni vitu ambavyo vinatia hasira kwa kiasi kikubwa sana....
Cjaona umaana wa Tija ya BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU kuwa na ghorofa kubwa lamabilioni ya shilingi wakati kuna baadhi ya wanafunzi tunakufa njaa tukiwa machuoni...
Haina. Haja kuwa na jengo kubwa kama lile wakati kunabaadhi ya...
Sasa huo utakuwa ni wivu mzee sasa unataka wenzio wasipaye ndugu cha msingi na sisi tukazanie tupate bana aliyepata kapata kama kwenu yamekuja hata majina kadhaaa mshukuruni Mungu jamani nyinyi wenzenu hata moja tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.