Mm ni mfanyakazi katika kampuni binafsi nina mwaka sasa miezi minne iliyopita nilipata ugonjwa wa kifua kiku u kampuni yangu ilinipa likizo ya kwanza nilipomaliza likizo Ali yangu ilikuwa bado wakanipa likizo ya pili nimemaliza juzi lakini afya yangu bado ivyo wananiambia niandike barua ya...
Jamani anayejua kufungua website anisaidie nitamlipa nimesoma html [\color] nimemaliza sasa nataka kufungua website yangu
Unaweza kuni pm
au ukanicheki kwenye gmail yangu
allykitupe@gmail.com
Ebu nisaidie jamani zamani mabest na mademu zangu walikuwa wakiniomba elfu moja wanasema naomba buku lakini siku hizi wakiniomba wanasema naomba elfu moja mpaka najiuliza kwann au ndo msisitizo ili niwapatie iyo ela ebu nisaidieni au safari ya dom imekaribia
Jamani mm naongea kutoka moyoni kabisa nilitokea kuipenda iphone ikiwa mm ni bingwa wa simu za android kwakweli nilitamani niiludishe alafu nipewe simu yeyote ata tecno powa simu yangu ilikuwa iphone 4 ivyo kadri siku zilivyokuwa zinaenda nilianza kuzoea vitu vyake nitofauti kabisa ila ukiizoea...
Habari zenu wanajr
Natafuta kazi yeyote inausiana na electronic repairing au mobile repairing nina experience ya miaka mitatu
Niko vizuri ktk kuripea vitu kama
Colour tv
Pasi
feni
Dvd deki
Brenda
Subwoofer
Mobile phone
System music (kiasi)
Plat tv(kiasi)
Na vinginezo ambavyo vinadeal na...
Najifunza mambo web design lakini kupitia internet kuna sehemu Hii nimekwama nisaidie kila nikiweka link inakataa kusearch inaniambia era nisaidieni jamani uwa naandika link namna Hii
<!DOCKTYPE HTML>
<html>
<body>
<p><a href="http://www.google.com/Facebook;/">click here</a>for Facebook sign...
Ni rafiki yangu kipenzi sana nilimshauri sana kuhusiana na tabia ya mke wake kuchepuka mtaani. Nilimsihi sana aachane naye lakini hataki ila siku akimkuta na bwana mwingine anakuja kunishtakia .
Nisaidieni jinsi ya kumshauri huyu best yangu.
Jamani Freemason inatosha kila kitu mmeweka simbol zenu kila mahala mmetawala nyinyi yahani mnataka kila MTU abudu dini yenu kilazima punguzeni basi mana as wengune waislam jamani mpaka vinywaji Nguo vyakula kila ninapoenda mnatawala nyinyi punguzeni
Jamani nisaidieni,
Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.
Nisaidieni.
Siku za kalibuni asilimia 90 ya simu zenye antivirus zimepatwa naatatizo mbalimbali ikiwemo kuzima kustack nk
KWANN ANTIVIRUS NDIO IWE CHANZO CHA TATIZO IKIWA NDO KINGA?
kila simu ya android imegawanyika sehemu mbili system na slavery(memorycard) ivyo kama simu haina antivirus virus...
Simu nyingi siku izi hazina auto internet configaration ivyo zinaitaji manual internet setting simu izo ni kama samsung uhawei htc sony na nk ivyo apo ndipo panakuja na umuimu wa kujua APNs na setting zake Apn ktk android utumika kuset manual internet haina aja ukawalilia karia wako nenda...
Download manager ni andoid ambaye anashugulika na kudownload ktk simu yako ivyo pale anapoblokiwa uwa simu inaandika unfortunately google playstore stoped ili neno utokea mara kwa mara ktk simu ivyo basi kama simu yako inatatizo ilo unatakiwa uwai keset kabla halijakuwa clonic itakubidi uende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.