Mabomu mabomu yanapigwa muda huu huku Ifakara Mgombea wa CCM kakimbia kakataa kusign vijana wa CDM nao mamekomaa wanalinda kura hawataki kutoka police wanapiga mabomu wawatoe matokeo hayajatangazwa
Leo kulikuwa na tamasha la muziki wa injilili Singida, waimbaji kama Rose Mhando, Hahati Bukuku, Ambwene walialikwa lakini baada ya ufunguzi muandaaji wa tamasha hilo Prosper aliwatambulisha waimbaji waliofika waudhuriaji wakapaza sauti zao Rose yuko wapi?
Ndipo mratibu alipoamua kufunguka kuwa...
Duh wewew pasco ni mnafiki kweli juzi umesema mwenyewe kuwa ben saanane ni mwamba na katika mwamba Chadema itajengwa leo tena unamkandia wewe kweli una kazi maalum humu jf huwa unapima upepo hata kama si mwanasiasa lakini ukiwa muongo jitahidi kuwa na kumbukumbu kimsingi mimi huwa nakupuuza.wewe...
Tatizo lake si Hoja ya mtoa hoja, ni mtoa Hoja yuko chama gani ilo ni tatizo sana tumeliona tena kwa lusinde baadhi ya wanachadema wakimuhusisha na sera za chama chake labda anajibu mapigo lakini GT utakiwi kuwa hivyo
Hivi sikuhizi jF imeishiwa ma GT tumjibu Mtei kwa hoja siyo vioja lasivyo na sisi/nyie mtaonekana ni walewale sijaona mtu kamjibu mtei zaidi ya kusema analeta udini oohh mwasisi wa chadema nk sitaki kuamini CDM wote wanakubaliana na hoja ya Mtei na sitaki kuamini CCM ni vilaza wameshindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.