ha ha ha haaa.. Wazee wa Kijani na Team Wasaliti sijui kwa nini wanamuhofia sana ndugu yao..!!! Si mara ya kwanza Lowasa kuonekana akifanya mazoez ya kukimbia kama jogging.. Lakin ndugu zangu Le Wasaliti na Kijan povu linawatoka!
Naona Fungu la ku ipromoti ACT Mtandaoni limeongezeka..!!!! Keep in mind Pasco ACT haiendi popote cuz ni kundi la wasaliti..!!! Wala usijichoshe kuangaika kulipigia promo huku sijui na wewe portion yako wamesha kupa.
Hakuna kitu kibya kama Njaa.!!!
Asante Dada Yetu...!!! Tupo Pamoja katika Hili!!!!! Uwajibikaji Ni Muhimu Tusiache Wapite Hivi Hivi..!! Hatuja Jenga Segerea kwa ajili ya Wezi Wa Kuku Tuuu..!!! Hata Hawa Shurti Wasulubiwe.
Kitu Kimoja Inabidi Uelewe Hata Mahakama Yenyewe Kwa Kiasi Kikubwa Tu Inahusika..!! Wakijiudhuru Watakuwa Wametusaidia Cuz Sehemu Ya Majudge Still Wapo Kwenye Mgao..!! Wakijiudhuru Watakuwa Wametusaidia Katika Harakati Pia za Kusuka Mahakama..!!! Kwani na Wenyewe Ni Sehemu Ya Tatizo.
Kwa...
Mkuu unakosea sana... Benno Ndulu kabla haja kuwa Gavana.. alikuwa anafanya kazi World Bank Na ndiyo alikuwa Lead Economist bahati nzuri alikuwa katika division ya East Africa so alikuwa anafanya kazi pia moja kwa moja na Mh. Rais aliyepita.. kwa taarifa kama ulikuwa hujui ndiye aliye changia...
Ndo maana tunasema njaaa inawasumbua nyinyi.. Bila dola wote nyinyi mngekuwa maskin wakubwa... Sasa angalia mawazo yako yote yapo kwenye posho... Inaonyesha ni jins gani CCM wenzenu wapo pale kwa ajili ya posho... Kama mlivyo waingizia kwenye account fanyen kuzirudisha zile mnazi ona mna stahili...
Sasa ndugu yangu unaongea nini...??? Ni rahis mno utampima mtu elimu na uelewa wako kwa mchango na werevu wake wa kuchanganua mambo... Mwanasheria wote walio bora ni lazima wafanye kazi huko unapopataka wewe.... Hopeless kabisa...
Ndugu yangu wewe ni mweupe mno despite exposure uliyo kuwa nayo... Too bad ujui hata maana ya federation na shirikisho.... Usi expose ujinga wako tafadhari...
Una angaika ndugu yangu ku clash... Kama una angalia bunge na angekuwa ana balance maoni ya walio weng na wachache... Kelele zisinge tokea... Sitetei ujinga rafik yangu.. Ukitema points utasifiwa... Ukitoa upuuz kama huyu Ummy tunasema tuuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.