Alooo si mchezo UKIMWI ni hatari,nimekaa miaka 6 Njombe ila niliyo yaona kuhusu gonjwa hili ni shidaaa,maaneo ya lutilage,chaugingi,mlevela,kibena shule,nzengelendete,lupembe daaa nashkuru niliondoka
Niende moja kwa moja kwenye maada. Kuna dada mmoja alipatwa na bawasiri ila ile bawasiri ilipona kwa dawa pasipo kufanyiwa operation's. Kilichojitokeza sasa ni jipu pembeni ya tundu la haja kubwa, baada ya jipu kupasuka imetengeneza njia ambayo ina uhusiano na njia ya haja kubwa, hivyo basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.