Hakuna chochote ninachoona
Lakini niseme makampuni yanayosapoti kiswahili wanazingua kiasi chake, wengine mpaka uwe na domain wengine visitor wazidi kadhaa yaani kifupi kazi kubwa mapato kidogo sana
Wakuu nahitaji website au blog yenye matangazo ya Google Adsense yakiwa hayana shida yeyote, kwa aliyenayo naomba tuwasiliane
Njoo WhatsApp http://wa.link/c951p8
Imebidi nije kusoma kwanza sifa ila nilichoambulia nakosa kabisa nikae upande gani, ila kuna aliyesema Mtu na Mtu kanipa imani iliyoanza kubomoka, acha nijionee mwenyewe ila nimeshajua baadhi ya tabia so nitakuwa makini nazo
Nachukia sana anayebisha kwa kusema alifundishwa..., sasa nani anapenda uelewe zaidi ya ukalili?
Hili linawezekana kabisa maana hiyo mota itataka umeme na jirani yake atataka mzunguko sasa hauoni wanaweza kugawana, cha muhimu we anzisha tu mzunguko hapo zianze kugawana huku nawewe ukipata share...
Hakuna kitu kibaya kama unania ya kuoa halafu uanze kufukua makaburi hauoi kabisaa, sasa kama mpaka mwanajeshi ambaye ananilinda mimi na watoto naye watanilia si bora kuoa mfanyakazi wa mochwari tu
Nilikuwaga na ndoto za kuwapata hawa lakini mbona tunakatishana tamaa, kwahiyo tuseme kweli huwa hawana hisia vifuani?, nimeshawahi kuwa na demu amenyonyesha mtoto mmoja yaani hata ufanyeje ni kama unajisumbua tu, yaani utapapasa, utanyonya, utabinya binya lakini wapi, mpaka nikawa namuuliza...
Msaada wenu uwe wa hakika maana ninataka kutumia neno hilo sehemu hivyo nimechanganywa sana na usahihi wake kwakuwa nakutana na sentensi zinazoyatumia yote kwa maana moja hivyo nikumbusheni wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.