Naihitaji incubator ya mayai kuanzia mayai mia (100) iwe home made au imported, bei iwe ya mwananchi wa
kawaida sio ya waheshimiwa.mwenye nayo aweke contact zake niweze kuwasiliana nae kwa maelekezo zaidi.
sory bandugu, hv uvunaji wa uyoga uchukua siku ngapi, i mean kuanzia siku ya kwanza kuvuna mpaka kuacha kabisa kuota kwa uyoga.ni continuos au uvunaji wake ni mara moja na pia naomba kiwango cha uvunaji,kwa mifuko mia unaweza ukapata kilo ngapi au mazao kiasi gani?
sory bandugu, hv uvunaji wa uyoga uchukua siku ngapi, i mean kuanzi siku ya kwanza kuvuna mpaka kuacha kabisa kuota kwa uyoga.ni continuos au uvunaji wake ni mara moja
na pia naomba kiwango cha uvunaji,kwa mifuko mia unaweza ukapata kilo ngapi au mazao kiasi gani?
habari zenu wanandugu,
hivi katika kupima,baada ya kufanya tendo la ndoa inachukua muda gani mpaka kipimo kigundue kuwa damu yako imeathirika(HIV positive).
Habari zenu wanajamii,
Kama kuna mtu anafahamu juu ya ufugaji wa ng'ombe wa maziwa naomba tushee utaalam ili nijue faida ya biashara hiyona hasara ya na vitu vinavyotakiwa kuanzia wanapopatikana hao ng'ombe na bei wanazouzia,soko la maziwa na tahadhari zake...naomba msaada wenu tafadhari
@Enterprenuer=hiyo imekaa vizuri kama kuna m2 practical anaendesha kilimo cha uyoga ani PM ili kufanya mpango wa ku meet niwezeshe kuona jinsi yeye anavyofanya ili iwe rahisi kwangu katika utekelezaji,sabab kuona ni sawa na kusoma mara mbili zaidi.
Habari zenu wanajamvini,
Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, sasa kidogo biashara yangu imepanuka, nahitaji mashine ndogo ya kutotoleshea vifaranga.
Naomba mnisaidie bei na mahali zinapopatikana, nitashukuru kwa msaada wenu.
--------------------
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.