Habari zenu wakuu,
Hope ni wazima otherwise Allah awafanyie wepesi.
Lengo la uzi huu ni kuomba kazi, kibarua au shughuli yoyote halali itayoniingizia kipato.
Nina umri wa miaka 27, nina elimu ya Diploma ya Information Technology ila sijabahatika kupata hata kazi ya kujitolea (mimi ni kati ya...
Habaria za mida wakuu, kuna laptop hapa ina tatizo la kutowaka. Tatizo limeanza baada ya kuifungua kwa lengo la kuweka heat compound, sas baada ya kuifunga aitaki kuwaka yani hata ile taa ya kuashilia kwamba umechomeka chaja aiwaki, je tatizo laweza kuwa nini? msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.