Vipi Leo England anapiga Ujerumani Ili kulinda heshima yake au atauza kama alivyofanya France Jana? England na Italy win hao wawili TU. Sitaki tamaa.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
umesoma vizuri nilichoandika au umekuja tu mbio mbio hujaona nimetaja route kabisa Dar shy mwanza ambako ninajua ni mabasi mapya. Jaribu uwe unasoma kwa vituo na kuelewa kilichoandikwa.
Allys star moja ya mabasi bora kabisa njia ya Dar shy Mwanza nilichopenda zaidi basi huwa ikifika mwanza au zile zinazoishia shy kuna basi mbili unazikuta standby kwa ajili ya safari ya kesho. Hii ni moja ya njia bora ya kwani madereva wanapumzika kesho yake, mabasi yana pata muda wa kuangaliwa...
Nyumba gari na ahadi tamu tamu toka kwa unaotarajia kuwashitaki ziko karibu nawe kaza hivyo hivyo. Kila mtu ashinde match zake naamini zikianza miminika zawadi na uzi ndio hatutousoma tena mrejesho wake.
Kwahiyo mkuu hii ni dhambi kama ambavyo unaambiwa ukitamani mke wa mtu umetenda dhambi?, Duh huko motoni kama kutajaa sana maana daily watu wanatenda dhambi wasizozitarajia bila kujua .....
Yani ukiangalia uhuni wa Spain wanavyocheza siku hizi utadhani wanashiriki mambo ya kufix game, sio ile team ambayo ilikuwa inaua goal kibao, mfano game ya leo kama wanataka ifix isitoe magoli.
Wadau kuna anaejua maswaibu yoyote yaliyowapata Sportpesa Tz maana website yao ukiifungua iko blank hakuna matangazo wala matches ila unapata access ya kulogin bila shida.
Na hivi tunaelekea kwenye uchaguzi wasitubugudhi na sms zao za vitisho haya makampuni ya wanyonyaji tutawashitaki kwa baba awachinjie baharini.....;););)
Mtoa mada uko sahihi lakini kama ulimsikiliza jana mjengoni naibu ni kana kwamba alikuwa anaunga unga tu maana kauli ambayo aliiongea miezi kadhaa nyuma ilikuwa tata zaidi ya aliyoongea Jana na katika kujaribu kukanusha ya nyuma na kuweka ionekane vizuri akahisi Jana ndio kajaribu kuweka sawa...
Alienzisha huu Uzi sio yule wa mjengoni aliesema kuwa "waliosema sio ndio wameshinda" maana maandiko yake kama anapima upepo je gia zake zinakubarika au LA,uzuri anakula za USO mpaka sasa naona.
Mkuu mshana hongera kwa bandiko murua kabisa alielewa ameelewa asietaka kuelewa wacha afanye anachokiamini ila umepiga angle zote kwa uwiano.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinachotokea kila kampuni ya simu itakuwa na database ya fingerprints zake maana wengine tuna line karibu tano kila moja na kazi zake inamaana itakulazimu kupita maduka yote kuchukua fingerprints jambo linaloonyesha hii mifumo wala itakuwa haifanyi integration na TCRA ilihali wangeweza tumia...
Kwa kutumia smartphone tunazochat nazo humu au PC zetu nadhani tunaweza pata majibu ya kero zetu kwenye website ya mamlaka. Kuhusu namna ya kupata namba ya utambulisho
Mpaka nakala ya kitambulisho chako ambayo utaitumia hata kabla hujapokea ID yako. Nadhani bora tutembelee na website ya NIDA.
Tuliokulia na kusoma shule za mbeya miaka ya 90+ hatushangai muda huo japo nahisi inaweza kuwa labda ilikuwa SAA nane na dk kadhaa ila yote kwa yote enzi hizo mabasi kufika mbeya SAA Tisa kasoro na kuendelea lilikuwa jambo la kawaida moja ya sababu ni mabasi yalikuwa scania mashine au Volvo kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.