Ni vizuri kuwa na fikra pana juu ya MCC na wahisani wengine kusitisha misaada Tanzania.
Kwa mtazamo wangu tatizo siyo yaliyotokea Zanzibar, kwani hata uchaguzi wa 2000 CUF walinyang'anywa tonge mdomoni, na hatukuona mashirika ya nje yakisitisha misaada.
Ukweli ni kuwa chini ya Rais Magufuli...
Naomba kujuzwa ni kiota gani kilichotulia Arusha na contact zake? Natarajia kupumzika huko na nahitaji mahali penye utulivu, self - contained rooms,clean, Wifii, na misosi ya nguvu. Wawe na jinsi ya kuniunganisha kutembelea mbuga za wanyama. Gharama iwe kati ya elfu hamsini na laki moja kwa...
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga.
Katika ziara hiyo, Lowassa...
Hatimaye yule waziri kipenzi na mahiri aliyekuwa ameandamwa na kashfa ya ufisadi Kenya Ms. Anne Waiguru amekubali yaishe kwa kuachia ngazi. Huo ndiyo uwajibikaji.. Ingawa alichelewa kufanya hivyo.
==========
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.