Rukwa alianzisha pia misitu ya kupanda na akatenga baadhi ya maeneo kama hifadhi (karibu na Malangali). Sumbawanga kuna Kiwelu Road. Alikuwa mchapakazi asiyependa Longolongo.
Ni vizuri kuwa na fikra pana juu ya MCC na wahisani wengine kusitisha misaada Tanzania.
Kwa mtazamo wangu tatizo siyo yaliyotokea Zanzibar, kwani hata uchaguzi wa 2000 CUF walinyang'anywa tonge mdomoni, na hatukuona mashirika ya nje yakisitisha misaada.
Ukweli ni kuwa chini ya Rais Magufuli...
They die soon to go to heaven before they can accumulate many sins. On the other hand, bad guys live longer because God is patient; hoping they can repent one day and come back to him (like Prodigal Son Lk 15:11-32). The GOD who is merciful and compassionate wants everyone to be saved.Its our...
Naomba kujuzwa ni kiota gani kilichotulia Arusha na contact zake? Natarajia kupumzika huko na nahitaji mahali penye utulivu, self - contained rooms,clean, Wifii, na misosi ya nguvu. Wawe na jinsi ya kuniunganisha kutembelea mbuga za wanyama. Gharama iwe kati ya elfu hamsini na laki moja kwa...
Aliyekuwa mgombea urais wa Chadema akiungwa mkono na vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa ataanza ziara ya kuzunguka nchi nzima kuwashukuru Watanzania kwa kumpigia kura katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25 na kesho atakuwa Tanga.
Katika ziara hiyo, Lowassa...
Fedha na Mipango Mpe Dr. Richard Mshomba mchumi aliyebobea na mhadhiri wa Lasalle University PA, USA. ..jamaa yuko safi na ana mapenzi na nchi yake hadi kajenga mradi wa maktaba Arusha ili vijana wapate elimu bora.
Source...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.