Kwakweli ndoa yangu ya miaka miwili naona ikienda kuvunjika vipande vipanda.
I have been doing lots of Dramas to my wife, can you imagine getting a condom in my pocket?
Its too much
kulewa ndio kupata corona? Nijuavyo mimi ni mikusanyiko ndio hatari, Halafu siku hizi ukienda bar Mlangoni wameweka ndoo ya Maji na mhudumu wa kulzimisha watu wanawe mikono
Mzee unaakili mpaka kuna sehemu umeandika "Uamizi huu wa KIJINGA CCM nikaona kama bado ni point" mzee ukienda mbinguni hutadaiwa kutotumia akili yake ipasvyo kama akina sisi
Ukweli ni kwamba kuna watu lazima tutoke ndio tupate angalau kidogo cha kulisha familia. Ikatokea serikali imechukua hatua kama za Rwanda, Kenya na nchi nyingine zilizoamua kuchukua hatua ya Lockdown basi ni kiama kwa baadhi yetu.
Majuzi nilikuwa naongea na Dereva daladala mmoja anasema sasa...
ABC of oil
Abandoned well: A well permanently plugged in the drilling phase for technical reasons.
Appraisal well: An exploration well drilled to determine the extent and size of a petroleum deposit that has already been discovered by a wildcat well.
Area fee: An annual fee which the...
Sisi walevi Kuna wakati tunapiga vitu sawa sawa Basi akili inakutuma kesho asubuhi boss atanikoma, Nikifika ofisini asubuhi naanza nayeye na atajua mimi nani. Basi unapoamka asubuhi pombe imeisha kichwani unajishangaa mwenyewe ulichokua unataka kufanya.
naona kuna mtu ameamka nazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.