nafkili ni hivi kuna yule umekutana naye ,ye kweli anaomba pesa ya kawaida ambayo iko ndan ya bajet yako hata huumii ukisema sina anasema ukipata utanipa anavumilia na kesho anaanza yeye kukualimia tu na si kuomba pesa sabab ushamuhidi ila kuna mwingine ashafanya wewe ni Microfinace bank [emoji386]
Hiv usipompa hiyo pesa ndo mahusiano yanakufa au atakuwa anakuvutia pumzi huku anangoja plan B na hiyo plan B huchomoi [emoji2297][emoji2297] ila ladies why
Ivi mnajua kuwa hii nchi ina ardhi kubwa sana we wakat una safir angalia nje ndo utajua mda mwingine unawaza hivi kweli kutakuja kujengwa huku kote, Pia mbuga za wanyama nazo si ardh pia [emoji849][emoji849][emoji849]
wanasema huyu mdudu nyama yake ina minyoo ambayo madhara yake hutokea baaday sana ,ingia Google utakuta sema mtu akishaonja ladha ya kitu kumrudisha ni kupunguza kasi ya kula
hii vita inakuwa vigumu kumalizika kwa kuwa Israel anaendelea kujenga nyumba zao katka plastin, pia mataifa makubwa hasa nchi za kiarabu wanasapot wapiganaji wa pande mbili ,pia mtoto mdogo wa kipalstn ashajua adui yang ni yule ,anakuwa kwa minajili ya kulipa kisasi, kuna kipind flani hii vita...
mi hata siwaelewagi watu wanaosema hawa ni wadhaifu too complicated, yani akili ya ziada ya wanume inatakiwa kuwepo ndo kuwaelewa hawa viumbe sio zile akili za kivulana za baleghe, na weng hufeli hapo katika akili ya ziada, kuna maalifa ya ziada wao wanayo yani natural gifted that's why wako...
pongez kwako kwa kuletewa bidhaa halis uliyoitaka ,but wengine kile ambacho tunaagiza ama walete kilekile lakin huwez tumia sabab ni oversized, au walete kitu tofaut na anuani ni yako...
inategemea na wewe umeenda vipi yan kabla hujamfikia ashajua unataka nn na jibu lake anakuwa ameliandaa tayar, mbona wengine wana mapokeo mazur tu, wanasema wanaudhaifu lakin kuna sehem kuko vizur,anyaway pole:):)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.