Heheee.. I'm very conservative... Hata huwa sijaribu vitu ambavyo najua kwa njia salama naweza fikia malengo... Ni pamoja na weight loss na vitu kama hivi vya kubana ikulu...
Hahaha asante.. Mie sio mtu wa kupaka makeup zaidi ya lipstick na wanja.. So huwa natumia gharama kubwa kuhakikisha ngozi ya uso inakuwa nzuri so mtu akiniona anadhani nina makeup..
Kama unataka kuwa na rangi yako halisi but inayovutia na yenye afya ukipata hivi itakuwa poa. Sio lazima uwe na vyote unaangalia kipi unahitaji kulingana na ngozi yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.