Huwezi kuwa Padri kama una ulemavu wowote ule hicho ni kigezo kimojawapo labda upate ulemavu ukiwa Padri tayari so mapadri wote walemavu unaowaona walipata ulemavu wakiwa tayari mapadre
Hatukumpigia kura kumpa uaskofu wala ukadinali hatutaingia gharama za uchaguzi hata akitutoka (Mungu atuepushie Mbali) So punguza hofu na upiganie kuwapima afya wanaotaka tuwachague kwa kura
Mkuu sina cha kuongeza hapo nadhani Kisima alipitiwa kidogo au ana experience tofauti katika uzoefu wangu sijajua bado the most efficient irrigation system recommended than drip irrigation na inafanya vizuri katika maeneo mengi sana na aina nyingi za udongo cha msingi ni kupata ushauri wa...
Mkuu achana nao hao hawajui thamani ya mbwa na wala hawajui mbwa ni nini nimeshakutana na mtu amenunua mbwa kwa 9mTzs ndo sembuse hiyo 3m unayouza wewe?
Nashukuru umeliona hilo siku zote huwa nasema viongozi wa jamii yoyote ni reflection ya hiyo jamii tusiwashangae viongozi wetu wanatoka kwenye jamii yetu kama walivyo viongozi wetu ndivyo tulivyo Watanzania
Ni kweli hiyo ni theory ambayo assuming everything is perfect ni kweli itakupa hayo mavuno ila ki uhalisia kuna changamoto nyingi sana so unaweza ishia kuvuna 40 or 50% of that which is also not bad
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.