Alichomaanisha sugu ni kuwa kama wanasema yeye ni mpangaji basi yeye si mpangaji bali amejenga ghorofa akimaanisha amejizatiti .hamaanishi ghorofa nyumba
jamani habari zenu wanajamii,
Hivi jamani hizi stika za fire ni kwa ajili ya usalama wa magari au ni biashara?mbona magari ya serikali hayana stika na hayakaguliwi.Haya hayawezi kuungua moto?
Pilli,wiki ya nenda kwa usalama mbona magari ya serikali hayana stika? lakini gari binafsi unaambiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.