Habarini za kuamka members wa jf nina card ya bank ya NMB MASTERCARD na iko verified kufanya online purchase na nishaijarb mara kadhaa cha ajabu PayPal hawaitaki kila nikijarbu ku link kwenyepaypal inagoma (this card cannot be virifield right now try another c) inanikera sana hii error msaada...
Ndugu zangu naomba msaada wenu nahitaji kua na huduma ya CTV (cable tv) sasa sielew hat pa kuanzia ni zipi gharama zao na ni nini faida yake na hasara ni channels ngapi zinaoeshwa na ni kwa malipo ya kiasi gani napenda sana michezo na movies nimechoshwa na gharama za DSTV tafadhar nahtaj msaada...
Siasa bhna ni mchezo mchafu kwelvyama pinzan vnaamin Chama tawala ni mafisad na leo wanarduko huko haya maswala ya siasa jaman yataguweka pabaya bure tuchunge midomo yetu
Guys samahani Kwa usumbufu. Naomba kufahamishwa jinsi ya kujiunga na cable tv, zina madhara gani, faida zake, zina channels ngapi, umuhimu wake na gharama.
Ahsanteni
Hawa nao hawajitambui bado we nyimbo ishatoka kitaa imeenea africa mashariki na kati youtube ipo karibu social zote ndo wanafungia hawajui kuwa kuangalia wimbo au kusikiliza sio mpk redion au tv zpo smartphones tunadownload kama kwel wako serious na kaz wanatakiwa kuwa wana review wimbo kabla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.