Katika hali inayoshangaza wapenzi na mashabiki wengi wa CHADEMA ni pale aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia CHADEMA ameonekana katika mkutano wa CCM unaoendelea hapa mjini Kahama.
Wadadisi wa masuala ya kisiasa hapa Kahama wanadai kiongozi huyo aliyejizolea umashuhuri mkubwa enzi za uongozi wake...
Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kupitia viongozi wake wamezidi kuudhihirishia umma wa Watanzania kuwa wanamtambua Rais Magufuli na wamezidi kupereka kero zao na malalamiko yao kwa Serikali ya Rais Magufuli.
Kweli Demokrasia inazidi kupanuka, kama hawa ndio walikuwa wakwanza kupinga...
Hatimaye vigogo wa chadema wapo katika maandalizi ya kumkabidhi nafasi ya ukatibu mkuu akiyekuwa Waziri mkuu awamu ya tatu. Wazee na watu muhimu ndani ya chama tayari wamepitisha jina la bwana Sumaye.
Dhana ya CCM kumsifia Mh.Rais kwa utendaji
wake ulIotukuka.....
Rafiki yangu Julius Mtatiro na Ukawa
wanapotafuta Political credibility kwa utendaji wa
Mh. Raisi Magufuli.
Miezi michache iliyopita tilikusikia ukisema kuwa
viongozi wa dini (hasa Wachungaji) wananuka
njaa, kwa kitendo...
Safari ya monduli 🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃🐃[/
Pimaaa
Safari ya matumaini
Safari ya matumain
Safari ya matumai
Safari ya matuma
Safari ya matum
Safari ya matu
Safari ya mat
Safari ya ma
Safari ya mab
Safari ya maba
Safari ya mabad
Safari ya mabadi
Safari ya mabadil
Safari ya mabadili
Safari ya mabadilik
Safari ya mabadiliko
Safari ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.