Nimezoea kusikia watu mbalimbali wakiitwa kwa vyeo vyao vya zamani.kwa mfano Balozi mstaafu,Rais mstaafu,Capteni mstafu nk. Nimeshindwa kujua ni kwanini Padri Slaa hatajwi kwa cheo chake cha upadri,ni kwanini?
Hii ya kutoa max kwa upendeleo ilikuwepo enzi za mchonga meno.Japokuwa haikufanyakazi kwa Kagera tu wakati huo ikijulikana kama mkoa wa ziwa magahribi ila kwa kagera ndo walikuwa wanawekewa max za juu kuliko sehemu zingine. Kilichowasaidia wahaya enzi hizo ni kwamba wao walikuwa wamesoma zaidi...
Hakuna kizuri kisicho kasoro, sasa hivi Afrika Kusini vijana wanalaum masaibu yao mengi, ukosefu ajira, umaskin nk kwa mandela. Wanadai aliwatelekeza na kukumbatia matajiri wachache.
Nyerere baadhi yenu mnaesema alikuwa na vision maskin ilikufa akiwa hai, yaani ujamaa na azimio la Arusha...
Ina maana ICC haikuyajua hayo? Ni kwa vipi taasisi competent kama hiyo inaweza kutoa hukumu kwa kitu kisichoeleweka vizuri? Hata hivyo ili kuondoa utata wote huo,niko mbioni kupata mfadhili amabe atabeba huo mzigo wa kulipa hilo deni.Hivyo wale wanao fanya Dowans kuwa ni mtaji wao wa kisiasa...
Sasa na wewe unataka kutupeleka kwenye kujadili mila anzisha basi thread inayohusu mila tuijadil.
Elewa tu kwamaba hata hao wzungu na waarabu walikuwa na mila zao kabla kuja dini hizi.Miongoni mwa mila za waarabu kabla ya uislam ni pamoja na kuabudu masanamu,kuzika watoto wao wa kike wakiwa...
Vuta subira kidogo ninamalizia kuscann document inayoonesha namna makanisa yalivyo na viwanja vya ndege maeneo yenye rasilimali zetu za taifa nchi nzima na huruka na madini na mali nyinginezo za taifa bila kukaguliwa hii ni tangia ukoloni,uhuru hadi leo.Hakuna Tra wala uhamiaji huko.Zamani...
@fundo mchundo.una matatizo ya msingi.ishu nikwamba tuliwafukuza wakoloni wote wazungu na waarabu ili tujitawale.lakin wazungu waliendelea na wanaendelea kutuibia kwa mgongo wa kanisa hata wewe unajua lakin hutaki kukubali tu.
Usitutoe kwenye mada hapa hatumjadili Mkamba.Hata hivyo Makmaba hajatangaza kugombea Urais.Lakini mtu akigombea kwenda Ikulu anatakiwa asiwe na kashfa kama hizo.Hata maaskofu kwenye ilani yao walisema achaguliwe mcha Mungu japokuwa baadae walionekana kugeuza na kutaka achaguliwe Slaa eti...
Inaonekana umetoka usingizini.Hata kiswahili chenyewe kinakupiga chenga.Hizo hapo kwenye red ndo wadudu gani? Kwa taarifa yako ubunge hauhitaji shule ingekuwa hivyo Mbowe asingekuwa mbunge na form4 yake
Whom dou you mean is insulting his dignity,me or Slaa? He once caught in a guest house during Bunge session in Dodoma by his old wife who also was not his lega wife.Then now he is enjoying openly with someones wife.He has really insulted his dignity
Si ndio maana hamumtaki kila siku humu jf mmeshupalia nchi imemshinda nchi imemshinda wakt huo mnashindwa kuelewa mko nyuma ya key boards amabazo hazikuwepo wakati wa utawala wa Nyerere.Haya ni maendeleo lakini hamyaoni.
Hakuna anayesema kuwa anaonewa kinachozungumzwa ni kuitaka serikali...
Mbona kila siku naona matusi humu jf dhidi ya jk? unataka mumtusi mara ngapi?
Nyerere alisema wakti ule anawkemea akina Malechela: Chezea vitu vingine lakini usichezee taasisi ya Urais.Lakini kila mara naona matusi dhid ya jk sas leo MM unataka kutwambia nini?
Yaani hilo jina lako linanikumbusha kitabu cha BULICHEKA.Unacho hicho kitabu unipasie nijikumbushe ya zamani?
Mimi sikuwahi kusoma shule ya kanisa hata moja lakini tokea sekondari division1,Alevel division1,Chuo kikuu 1st Class.Unadhani ntafanya kosa la kumnyima mwanangu elimu bora? Tena...
Hapo nimekuelewa.Kumbe ukikutana mbwa anabweka njiani nawewe unaanza kubweka? Will the passersby know the difference btn u n the dog?
Nilikwambia hilo jina ni la kiarabu lenye maan ya mja wa Mungu.Sasa wewe hutaki kuwa mja wa yesu amabe ndie mungu wako?
Masheikh wametoa hoja za msingi sana...
Rafiki yangu mkirstu anamilki shule ya msingi english medium.Alinisahawishi nikampeleka mwanangu shuleni kwake.Kila akija nyumbani ankuja anaiba nyimbo za kanisa huku akilalamika kuwa wanalazimishwa kusali kikrsitu kabala ya kuingia darasani na wakati wa kula.
Nikamuona mwenye shula nikamuuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.