Search results

  1. J

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Zitto anajua anachofanya, tatizo chadema ni wadandiaji wa hoja, hawana uwezo wa kuibua wao kama wao.
  2. J

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Ukawa ilikuwa ni lazima wampigie magoti
  3. J

    Hatimaye Zitto Kabwe akaa meza moja na UKAWA

    Zitto elimu yake sio ya kuungaunga
  4. J

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Ni Magufuli kwa kasi zaidi
  5. J

    Hatimaye John Stanley,Aibuka Kidedea Urais wa Tahliso

    Harakati zako tunazipata, utaleta mabadiliko makubwa kwa shirikisho.
  6. J

    Wananchi wamshauri Magufuli kuongoza vipindi vinne mfululizo

    Hatimaye maelfu ya wananchi wamezidi kupaza sauti wakimtaka Rais Magufuli kubadili katiba na kuweza kuongoza vipindi vingi zaidi kutokana na kasi yake ambayo imekuwa chachu ya matumaini na mabadiliko nchini.
  7. J

    Hatimaye CHADEMA watambua rasmi ushindi wa Magufuli

    Mada haihusiani na ulichoandika hapo.Wakuu wako wakubaliana na Uongozi wa Rais wewe unabakia kutoa mapovu.
  8. J

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Kuwa mzalendo kufuatilia TV, leo Malim Self mwenyewe alikuwa Ikulu na Rais Magufuli
  9. J

    Rais Magufuli akutana na Maalim Seif Ikulu leo

    Viongozi wa CUF wametanguliza utaifa mbele na kuachana na siasa uchwara.
  10. J

    Yaliyojiri Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Arusha mjini, Lema atangazwa mshindi

    CCM mpka sasa wazidi kupeta kwa kishindo
  11. J

    Sumaye kuwa Katibu Mkuu CHADEMA?

    Mtei amteuwa Sumaye duuuu
  12. J

    Siku ya UHURU wa Tanzania bara (9/12): Yaliyojiri maeneo mbalimbali kuhusu kufanya usafi

    Maeneo mengi leo wakati usafi ukiendelea, viongozi wa serikali za mitaa na Wabunge katika maeneo husika wameonekana wakifanya usafi kwa pamoja na wananchi. Hali hiyo imekuwa tofauti kwa Jimbo la Kibamba ambapo Mbunge wao hajaonekana na mpaka sasa haijulikani mahala alipo.
  13. J

    Wapi alipo Maalim Seif kwa sasa?

    Kashanyamazishwa huyo, njaaa tupu
  14. J

    Vijana walikaririshwa kwamba tatizo ni Mfumo!!!

    Ukiwa bana wengi walikuwa na njaaa
  15. J

    Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

    Lowasa wizi ungekithiri
Back
Top Bottom