Hatimaye maelfu ya wananchi wamezidi kupaza sauti wakimtaka Rais Magufuli kubadili katiba na kuweza kuongoza vipindi vingi zaidi kutokana na kasi yake ambayo imekuwa chachu ya matumaini na mabadiliko nchini.
Maeneo mengi leo wakati usafi ukiendelea, viongozi wa serikali za mitaa na Wabunge katika maeneo husika wameonekana wakifanya usafi kwa pamoja na wananchi. Hali hiyo imekuwa tofauti kwa Jimbo la Kibamba ambapo Mbunge wao hajaonekana na mpaka sasa haijulikani mahala alipo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.