present your problemto TANESCO. Failure tocommunicate effectively often makes it difficult to resolve complaints. Haveall relevant information at hand when make a contact. Whenyou realize that your attempts to contact TANESCO are being ignored, or the refuses to help you, communicate in...
Haya maelezo ni ya kweli kabisa, wala usijaribu kuwaendekeza kwani waonekana wakweli unaweza ukashawishika. Kuna mmoja alinipotezea muda eti mume wake ana cancer yupo mahututi kampa maagizo atoe pesa zake msaada kabla hajafa. alituma mpaka picha yake na mumewe akiwa kitandani. Nikaenda benk moja...
Ni akina nani hao waliopunguza idadi ya watz kwa tamaa ya mapesa yanayotokana na kuwaumiza wengine. Wataje majina yao matatu ili tuwafahamu na ikibidi tuwape pole jamaa zao.
Inasikitisha sana, kuna mzee kaacha mke na watoto kwa tetesi ni kwamba keshauawa nchini china.
Pole sana, Inaelekea humwendei vizuri, badilisha utaratibu huku ukimuuliza kwa mapenzi kwamba unatakaje mpenzi? Kama walivyosema wengine huenda unanuka mdomo au mwili. Tafuta shower jelly za kiume au sabuni kali kama imperial na dawa za meno zenye kukata harufu, kisha uoge na kupiga mswaki...
Watu wanafikwa na makubwa, lakini naona kama hujamalizia hadi alipofika salama TZ?
If You Tell The Truth, It Becomes A Part Of Your Past
If You Lie, It Becomes A Part Of Your Future!
Choice Is Yours!
Hii nakupa ya ukweli kutokana na maisha yangu. Usijifanye kidume cha kutongoza utotoni utaishia O level. Mimi nilivyokuwa O level kuna kidume kilikuwa kinanifuatilia sana. Kwa ufupi nilikuwa nasoma shule moja kilimanjaro yeye yuko Tanga. Akiandika barua nikawa nashidwa cha kumjibu kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.