Search results

  1. HoodRich

    Mwembeyanga ni gharika, ni kwenye mkutano wa mgombea Urais wa CHADEMA, Lowassa

    Habari za muda wadau, Ndio naingia viwanja vya "Mwembeyanga" hapa tayari uwanja umeshona, barabara za lami zinazopita hapa zimefungwa. Kweli Lowassa kipenzi cha watu. Naleta picha muda si mrefu wadau.
  2. HoodRich

    Hatutaichagua UKAWA kwa sababu ni Upinzani bali......

    Hatutaichagua UKAWA kwa sababu ni Upinzani bali TUTAICHAGUA ukawa kwa sababu ni tumaini jipya katika siasa ya nchi yetu yenye kuleta mabadiliko. Tutaichagua ukawa kwa sababu inasimamia KATIBA ya wananchi yenye kubeba matumaini ya wananchi kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Tutaichagua ukawa kwa...
  3. HoodRich

    Watanzania #hapa kazi tuu

    Habari za jioni Hivi nawashangaa sana ccm, baada ya kupewa madaraka ya kuongoza nchi hii zaidi ya miaka 50 wamepora rasilimali zetu, wamejilimbikizia mali kwa wizi, rushwa na ufisadi, wameishi maisha ya kifahari huku watanzania tulio wengi Tumeishi maisha ya shida, elimu duni, dawa...
  4. HoodRich

    Lowassa atakavyoibuka kidedea kwenye mdahalo

    Hakuna mtu anayejua kucheza vzr na siasa ya Tanzania. Lowassa ni mastermind anajua watanzania ni washabiki wa matukio. Anachofanya lowassa na kambi yake nikuwaingiza wapinzani wake kwenye angel kichwa kichwa kana kwamba hataki mdahalo then aibuke kwenye mdahalo na kujibu maswali vzr. Ni imani...
  5. HoodRich

    Mfalme anapokaribia kufa, uwezo wa macho kuona hupotea

    Hivi kweli magamba hawaoni wananchi wanataka mabadiliko? Wanajitoa ufahamu kwamba bado wanakubalika na wanayo nafasi ya kuongoza tena zaidi ya miaka 50. Ukweli ni kwamba wamepatwa na upofu na ndio kuondoka kwao madarakani, Tanzania ya karne hii sio ile ya zamani watanzania wamechoka na ugumu...
  6. HoodRich

    Kwani ni lazima Mgombea wetu ahudhurie mdahalo?

    Mwaka 2010 mgombea wetu Dr. Wa mihogo alipotaka mdahalo na wagombea wengine wa urais, yule wa ccm aliingia mitini. Sasa kuna haja gani leo kutulazimish mdahalo wkt previous mlisusia, na sisi tunasusia huu sio lazima tuhudhurie mdahalo Mzee anamwaga sera mikoani na wananchi wamemuelewa...
  7. HoodRich

    Sheria ya NEC inasemaje?

    1. Endapo MGOMBEA urais anashtakiwa na ana kesi ya kujibu Mahakamani wakati akiwa kwenye kampeni sheria zinasemaje? Naomba kujizwa wadau
Back
Top Bottom