Habari ya muda huu wakuu..,
Poleni na majukumu ya Kila siku, bila kuwachosha nimekuja Kuna canter tan 3 inauzwa Bei ni sh. 16,500,000/- iko katika hali nzuri kabisa na sio ya udalali ipo nyumbani kimara mwisho mtaa wa matosa.
Contact: 0786412030
Habari wakuu..,
Samahani kwa usumbufu, najua mtakuwa mmelala saizi. Bila kupoteza muda wacha nieleze shida yangu.
Natafuta bomba za body ya Canter urefu wa futi 8 na upana wa futi 5.8.
Kwa yeyote mwenye nayo naomba tuwasiliane, its very urgently yaani inahitajika soon as possible.
Location...
Habari za wakati huu, naimani ni wazima bukheri wa afya na mungu anaendelea kutupigania kila iitwapo leo.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Binafsi nimekuwa na mpango mkakati kwa muda sasa kuhusiana na kipindi hiki cha mavuno.
Nia na dhumuni ni kutaka kuingia kwenye soko la mavuno hususani...
Habari ya muda huu Wakuu
Ni Jumatatu nyingine ya kuanza pirika pirika ya kutafuta riziki ili kupambana na maisha bila kuchoka.
Niende kwenye mada husika bila kupoteza muda, hapa home kuna Canter imekosa kazi sasa ni mwezi wa tatu hakika naumizwa ninapoiona imekaa chini haiingizi hata shilingi...
Habari ya muda huu wakuu,
Ni jumatatu nyingine ya kuanza pirika pirika ya kutafuta riziki ili kupambana na maisha bila kuchoka.
Niende kwenye mada husika bila kupoteza muda, hapa home kuna Canter imekosa kazi sasa ni mwezi wa tatu hakika naumizwa ninapoiona imekaa chini haiingizi hata shilingi...
Wakuu nimeahidiwa na mrembo flani hivi kama nikipatia hii atanipa zawadi nzuuuri.., sasa na mimi siitaji kuikosa. Naombenii msaada niweze kuipata hii zawadi nzuuuri..,
Sent using Jamii Forums mobile app
Salaam
Fursa, Fursa, Fursa
ETERNAL INTERNATIONAL HEALTH CARE
Kampuni ya
ETERNAL INTERNATIONAL
kutoka inchini China Barani Asia Inatangaza fursa za kazi.
Inahitaji zaidi ya wafanyakazi 1000 wa kufanya nao kazi. Mafunzo yatatolewa bure hapo hapo kwenye kampuni kabla ya kuanza kazi.
Kama ulikuwa...
Habari ya sikukuu mabibi na mabwana,
Mimi ni kijana mwenye miaka 20+.., jana nilibahatika kuona tangazo la kazi nchini UK, sasa katika kuapply kuna baadhi ya maswali unatakiwa uyajibu something like written interview.
Swali linauliza Je, "we love meeting people who leave things a bit better...
Habari ya muda huu..,
Niende moja kwa moja kwenye mada, leo nimejaribu kuingia jukwaa la Great thinkers asee ila cha ajabu nimekatazwa kureply thread flani hivi nilioikuta huko na kuja kucheki nakuta thread zote ziruhusiwi kureply.
Nikasema isiwe shida wacha niende kwenye option ya kutandika...
Sikupendi… (hmmmm)
Sikupendi… (aaaahh)
Sikupendi… (eeeehh)
Sikupendi (Max Maixer)
Sikupendi
Kichwa wanipasua..,
Unanichapa fimbo
Moyoni napata tabu,
Unajishaua unamalingo
Kama una sura ya Dhahabu,
Ni miaka sasa nakufata
Ndala zangu zote umekata,
Kutoka tegeta hadi tabata
Mpaka visigino...
Habari ya muda huu wakuu, poleni na majukumu yanayoendelea kwa siku ya leo.
Moja kwa moja niende kwenye mada husika, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu. Nimekuwa ni mkanganyiko wa ufahamu juu ya hivi vitu viwili kipi ni sahihi kwa wakati upi.
Maji yapi ni sahihi kwa kumchua mtu...
Habari ya muda huu wakuu..,
Niko nawaza hapa mzungu asiejua kiswahili hata kidogo ikitokea yupo Tanzania na akapata shida flani ya kumfanya akatafute msaada kituo cha polisi nina imani atapata ushirikiano mzuri kwa lugha anayotumia,
ila sina hakika kwa mmbongo alieko nchi za magharibi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.