Habari ya muda huu wakuu..,
Poleni na majukumu ya Kila siku, bila kuwachosha nimekuja Kuna canter tan 3 inauzwa Bei ni sh. 16,500,000/- iko katika hali nzuri kabisa na sio ya udalali ipo nyumbani kimara mwisho mtaa wa matosa.
Contact: 0786412030
Habari wakuu..,
Samahani kwa usumbufu, najua mtakuwa mmelala saizi. Bila kupoteza muda wacha nieleze shida yangu.
Natafuta bomba za body ya Canter urefu wa futi 8 na upana wa futi 5.8.
Kwa yeyote mwenye nayo naomba tuwasiliane, its very urgently yaani inahitajika soon as possible.
Location...
Habari za wakati huu, naimani ni wazima bukheri wa afya na mungu anaendelea kutupigania kila iitwapo leo.
Niende kwenye mada moja kwa moja. Binafsi nimekuwa na mpango mkakati kwa muda sasa kuhusiana na kipindi hiki cha mavuno.
Nia na dhumuni ni kutaka kuingia kwenye soko la mavuno hususani...
Hesabu huwa ni za kawaida kwa madereva wote uwiano wa hesabu kwa siku huwa hautofautiani kulingana na aina ya gari na kazi inayofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Canter ni tani 3.., picha zinakuja mkuu. Na naiamini kwasababu imetoka kufanyiwa full maintenance na haijaingia tena mzigoni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.