Search results

  1. C

    Baba Yangu Amebaka Housegirl-Mama Anataka Kuondoka!

    chonde chonde alikuja house girl nyumbani ni mzuri kuliko mamiss wote wa TZ walio pita kamaliza std 7 miaka mitano iliyopita ni 20 yrs old. Kabarikiwa kwa urembo kwa kila hali, maskini hakukaa zaidi ya masaa 24, mama akamuaga arudi kwao. Majaribu yalikuwa si majaribu ili nilihisi nimebakwa kwa...
  2. C

    Wanawake wa Kikenya

    sumu haijaribiwi
  3. C

    Chuo Kikuu bora TZ ni kipi kwa kusomea Uhasibu au Biashara? - ni UDSM, Mzumbe au IFM?

    Jamaa yangu yuko IFM, nasikia ukishikwa tu, jamaa wanadai ukate laki laki nanusu. mlimani inategemea, maana si kuelewa ni kuafaulu tu, kariri au egesha bora kufaulu. Mzumbe sijasikia baya. Yote niliyosema nimesikia tu. Mwambie jamaa yako mwache aamue mwenyewe.
  4. C

    Mke hataki ndugu wa mume:Msaada please.

    DAWA NI RAHISI SANA. Nimeshuhudia kwa jirani yangu nae alioa huko huko uchagani mke hataki ndugu zake. Dawa ni rahisi. Jino kwa jino. Akimkataa ndugu yako kataa wake, ukifanya hivyo atakuelewa na atakubali ndugu zako. Ukiwaruhusu tu ndugu zake utakuwa umewasaliti ndugu zako. ACHA UJINGA fukuza tu.
  5. C

    Wanawake wa Kikenya

    I have met two chaps at different places married to Kenyan women. What i saw is that tehy like to be dominant in the family, to an extent of beating their husband. This behavior is more prominent with Kikuyus. You cant change them. BEWARE.
  6. C

    mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

    Jameni mie nna myaka 74 mwezi ujao. Nyie kina dada warembo, babi zenu wa kibalojia mwawajua?
  7. C

    mdada wa Jf, Mbaba mtu mzima anapokutaka kimapenzi unajibu nini??

    Wise Lady & lily Flower; Mnatukashifu si vibabu, MNAWAJUA BIOLOGICAL FATHERS WENU? tujibuni kabla hamjaendelea na comments mpya
  8. C

    Nahisi Haus gel wangu ananitega

    Chonde chonde kaza moyo. Najua na naelewa yanayo kukuta.
  9. C

    Nahisi Haus gel wangu ananitega

    Chonde chonde kaza moyo. Najua na naelewa yanayo kukuta. mimi ndiko nilijifunzia zamani wakati wa balehe
  10. C

    Picha iliyo waliza waandishi wa habari na wote waliyo iyona

    So sad. But lets not forget our own backyrds at "mwananyamala hospitals, and other places just for lack of proper medical care people are dying everyday'
  11. C

    Top Secret

    That is true only truth. There is no shortcut
Back
Top Bottom