Kwa wataalam naomba kujua nna michubuko midogo midogo Kwenye lips zangu inachoma choma mithili ya pilipili.
Je Ni ukosefu wa nutrients flan pia tiba yake ni nini tafadhali
Jamaa zetu wa HESLB, watoto wa maskini tunahitaji sana uadilifu wenu wa kazi, wakati mnatoa majina ya waombaji waliokosea hizo fomu mlizotoa majina leo zilifichwa wapi? Mnatuvunja moyo!
kwa upande wangu naona ni usumbufu ninapoongea na mtu nabakiwa na sekunde 60 ambazo ningeweza kuelewana na mwenzangu halafu naingiziwa maongezi yanayokata mawasiliano yetu, kwanini usiwekwe mlio mmoja wa kuashiria muda wa maongezi unakatika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.