ndugu wanajmvi wenzanguu naombeni msaada nina ipod 80gb yani nilichomeka kwenye laptop kuweka video ikaconect kwa muda mfupi halafu ikakata sasa nikiiwasha inablink tu mpaka chaji inaisha haiwaki. tafadhali msaada wenu au kama kuna fundi naombeni namba.
ahsanteni
Naona hatari inakuja Tanzania jamani,yani kila siku tunaamka na matamko tofauti na la jana.tunaenda wapi jamani kama nchi. me naiomba serikali ishughulikie matatizo ya wananchi. tumechoka na kauli kila kukicha
Kama*upo Dar nenda Kariakoo sokoni*utapata mahitaji yako yote ya mbegu.ila nakushauri nunua mbegu ya red creole ndo nzuri kwa magonjwa na kuvumilia hali ya hewa mbaya.
Daah nimeipenda sana hii ramani ,ila*unavo sema kuwa*gharama yake itakuwa ndogo,unamaanisha ni kiasi gani??????
kwa sababu suala la gharama ndogo au kubwa huwa linategemea kutoka mtu mmoja hadi mwingine. labda niambie gharam ndogo ni kiasi gani ????kwako Mkuu*.
Mimi najua kama unataka kuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri nakushauri ufanye yafuatayo ndugu:
1.kuwa vegeterian
2.acha aina zote za vilevi
3.fanya mazoezi ya viungo kwenye maeneo yenye hewa safi.
4.soma majarida mbalimbali yenye kujenga ufahamu mpya...
Akili yako ndogo sana ,,unaonyesha hata ukiulizwa pua yako ina matundu mangapi kwa akili yako ndogo utasema bado hujafundishwa!
Endelea kusubiri kuwa pua yako ina matundu mangapi..
mmtoa mada toka gizani wewe huu si wakati wa kuwasemea watu wafanye nini acha watu wajikwamue.wewe kama umechoka acha wenye nguvu waendelee.. halafu wewe unawasemea watanzania kama nani ??? nakuuliza wewe mjinga usiye jua hata kusoma sura za watu walio karibu yako unaoishi nao. Hivi wewe haya...
Yani inabidi uwe na moyo mgumu sana kukataa ukweli.yani mtoto kama huyo anakuita kwa madoido ,we unadhani utakumbuka kama garasa..wanaume kazi jamanii, me mawaonea huruma sana kaka zangu nyie.
Nimeipenda sana makala yako ndugu,ila me naona kwa maneno ya haraka haraka ni uvivu wa kufikiri na kutenda ndio chanzo cha sisi kufanya mambo haya......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.