MKUTANO wa hadhara upo Geita. Mhitubiaji mkuu ni Katibu wa NEC CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda. Mara, Makonda anaagiza Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, apigiwe simu. Halafu, Makonda mwenyewe ndiye anapiga hiyo simu.
Mavunde ameshapatikana, simu inapokelewa. Makonda anamwambia Mavunde...
Salaam wanajukwaa mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32.
Nilimaliza Bachelor Degree ya Banking and Finance (IFM) 2014.
Nikasome Masters Degree of Finance and Investment (Coventry University- IAA).
Nimefanya contractual jobs na Kampuni tofauti.
Mwenye fursa akihitaji CV yangu nipo tayari...
Watu wengi wamekuwa wakiulizia kituo chetu cha kuwasaidia Ndugu walioathirika na Ulevi wa Pombe kupindukia,Mirungi,Bangi na Madawa ya kulevya kipo Kigamboni. Link ni hii hapa chini...
https://g.page/r/CZlJI_2-DiCmEBI/review
Zawadi Inayoitwa Maisha:
Safari Yangu Kutoka kwa Uraibu wa Heroin Hadi Kupona Kujiunga na ukarabati ulikuwa uamuzi bora zaidi ambao nimewahi kuchukua. Sikuzote nilisema kwamba sitawahi kutumia dawa za kulevya. Nikitazama nyuma, nilifanya kila kitu nilichosema singefanya. Mara ya kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.