Search results

  1. L

    Lema: Ubaguzi katika msiba wa kuaga wanafunzi waliofariki katika ajali ni ishara mbaya

    Ni lugha tu mkuu, naamnisha walioitikia hata baada ya kutajwa jina tu
  2. L

    Lema: Ubaguzi katika msiba wa kuaga wanafunzi waliofariki katika ajali ni ishara mbaya

    Swali je hizo salam zao wananchi walizipokea? hakuna shaka kwamba wananchi wengi hawakufurahishwa na hilo na walijua hilo lingetokea. Kwa aliyekuwa uwanjani aliyeshangiliwa wakati watu wako kwenye msiba huyo ndiye mfariji wao na salam zake zimepokelewa na wenye msiba kuliko hao walioongea na...
  3. L

    Hivi kuandaa watoto kumshangilia Rais Walimu mnapata faida gani?

    Wakulaumiwa ni Wazazi, wameshindwa kuwaleo watoto wao kwa kuwafuatilia maeneo wanayokwenda, na wengi wao hawajui hata watoto wao walikua huko. wasilaumiwe waalimu wala wanafunzi.
  4. L

    Tabia za watanzania ndio zinafanya wayaone maisha magumu

    Dunia imebadilika na Jamii zimebadilika ni vyema kuelewa hivyo na vizuri kujitathimini mwenyewe,nchi yako na kutathimini wengine ili kupanua uwezo wa akili yako kufikiri na kutatua changamoto, ili unapopata muda kutafakari juu yako,familia yako na nchi yako na yawengine upate majibu sahihi...
  5. L

    Serikali imekuwa ikikusanya mapato kinguvu kwenye magari na kusingizia ni faini

    Ndugu hawa jamaa hujakutana nao, wakitafuta pesa, ukiweka wavu kwenye taa za nyuma ili zisipasuke kirahisi au umeweka spear trye ya kuchonga kwenye garage kosa, unaambia hio sio orginal kutoka kwa mtengenezaji. elimu na haki ndio dawa.
  6. L

    USA Government na EPA hawataki Afrika na Tanzania iendelee ndio maana...

    Hio ndio kazi waliyotumwa na watanzania kutetea maslahi ya Tanzania, lakini dunia inaendeshwa kibiashara hivyo hatupaswi kujitenga bali kutumia akili yetu kukataa mabaya. Tatizo la viongozi wetu ni wizi wanaiba na wanaenda kuficha huko kwao, wanaua wananchi wao na wanawafanya masikini ili...
  7. L

    Tafakuri: Kwanini joto la kisiasa liko juu sana kama uchaguzi kesho?

    Lazima raisi ajue matakwa ya wananchi, kama uchumi umeanguka hakuna jinsi kila mmoja atatafuta sababu, na atakayebeba lawama ni raisi na raisi ni mwanasiasa na joto la siasa linaanzia hapo. ukweli ni kwamba ukimnyima bubu chakula au kumtesa ataongea kwa jinsi anavyoweza, Raisi anawezakuwa ana...
  8. L

    Umejifunza nini kutoka kwenye Uchaguzi wa Marekani?

    Matokeo hutangazwa na vyombo vya habari yakishahesabiwa, kwani kila kitu kinakuwa wazi na mawakala wako kila kituo wanahesabu na kutuma matokeao kwenye center zao za kuhesabia kura.
  9. L

    Wenyeviti wa serikali ya mitaa wa Jimbo la Arusha mjini wametoa tamko la pamoja kutoshirikiana Gambo

    Hapo umesahau Watendaji wa serekali wanatokana na rais aliyechaguliwa na wananchi na hao wanyeviti wamechaguliwa mojakwamoja na wananchi, hivyo wanaojulikana kwa wananchi ni wenyeviti na ili mwakilishi wa rais afanye kazi ktk eneo lolote ni lazima apate kiungo cha kumuunganisha na wananchi...
  10. L

    Zitto: Msomeni Putin mtajifunza mengi yanayoendelea nchini

    Hakuna makamala ila tatizo hatukufundishwa kusoma na kuelewa, hapo hakuna kujenga chama ni kujenga utawala binafsi ili kutimiza matakwa binafsi, chama ni taasisi na lazima kiwe kikubwa kushinda mtu, ila kiongozi yeyote anayesema ningewafukuza nusu au lazima wafanyakazi wote wa serekali wajue...
  11. L

    Zitto: Msomeni Putin mtajifunza mengi yanayoendelea nchini

    Ili nchi iendelee na wewe pia ili upate maendeleo ni lazima serekali na jeshi ijitenge na vyama vya siasa kwani vyama vya siana vina agenda mbili kuu kushika madaraka na kuleta maendeleo, lakini maendeleo hua wanalazimishwa na wananchi sio kipao mbele chao, lakini serekali na jeshi wao wana...
  12. L

    Lowassa anazidi kuwa mkiwa ndani ya CHADEMA!

    Winners are not people who never fail, but people who never quit!!!
  13. L

    Mweusi apigwa risasi hata baada ya kutii amri ya kunyanyua mikono

    Uhalifi na chuki havijali rangi,kabila wala dini hili ni fundisho kwa viongozi watz kuhakikisha haki inapatikana na wasihuribiri kugawa watu na chuki ktk jamii.
  14. L

    Zitto: Msomeni Putin mtajifunza mengi yanayoendelea nchini

    Zitto anatahadharisha kitu ila kwa wanaoona mbali ndio wanaona hilo, Putin aliingia kwa bahati na akajenga himaya yake imara badala ya kujenga taasisi imara ndio maana leo anaifanya Urusi anavyotaka, neno kama ningekuwa mwenyekiti ningefukuza karibia wote,kila mwajiriwa wa serekali lazima...
  15. L

    Rais Magufuli: Polisi kamateni hata gari la Rais

    Hawa wanabambikia watu makosa hasa barabarani, ni vyema akaweka wazi askari nao kuwajiba kwa makosa wanayoyafanya.
  16. L

    Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

    Sidhani Wanzatania wanahitaji matangazo, wanahitaji kuona watu wako mahakamani.
  17. L

    Serikali ya India kupitia Waziri wake Mkuu yaahidi kuikopesha Tanzania dola milioni 592

    Ndugu Masikini wa India sio kama wa TZ, Wa TZ wana nafuu kubwa, chukua picha hii, mfano hapa Dar masikini wanalala kwenye gazi za ghorofa ili uwakanyage wakati unapita na uwape sh500.Bado tunakitu cha kuchunguza na kujifunza ktk hii misaada.
  18. L

    Serikali ya India kupitia Waziri wake Mkuu yaahidi kuikopesha Tanzania dola milioni 592

    India wana masikini kwa mamilioni ambao hata hawana pa kulala,lakini serekali yao inakopesha TZ milioni za dola, wachumi na intelejinsia watusaidie kuna ni nyuma ya mikopo kama hii? tunapata faida gani? kuna hatari gani ktk hii mikopo?
  19. L

    Tanzania yatangaza kujitenga na Afrika Mashariki na Ulaya ili kuleta viwanda

    Hii waongee na umoja wa ulaya ili ziwekewe tarif, ili watu wachague, kwani kuna Watanzania wanajali ubora, lakini tukifunga milango kabisa, inaweza kulamisha watu wanunue bidhaa hafifu na kutoa ushindani wa bidhaa kwa ubora
  20. L

    Tovuti mbaya za serikali zilizotengenezwa na watalaam wa IT wa Tanzania

    Nakuunga mkono ktk kutangazwa tenda, ila ktk bei hizo ndio bei ktk soko la kimataifa ili kushindana ktk soko, mtaalam na sahihi wa kufanya hio kazi ili Tanzania ijulikane na ulimwengu bei yake ni $130 kwa saa, hio ndio bei wenzetu wanalipa, rahisi ni ghali.
Back
Top Bottom