Tunajua ni muhimu lakini sheria za uanzishwaji sehemu husika zikifuatwa haitakuwa na madhara,chukulia kanisa kama la Roma mathalani huwa wanachukua eneo kubwa kiasi kwamba shughuli zao za kiroho haziathiri shughuli za mwili za wengine,tatizo la haya baadhi ya makanisa modern hata ndani kwa mtu...
Wewe ni mwerevu ndio ila mtoa mchangiaji hajasema makanisa yafutwe,alichomaanisha yawepo mahala panapofaa,isiwe sehemu ya makazi ilikuondoa kadhia kwa wasio husika!
Nadhani tuwakamue wabunge maana wanakiherehere cha kujifanya wako pamoja nasi tufute posho ya makalio,mashangingi na utumbo wa mil 250 kama mafao yao tuone kama deni halitaisha na wakatukopa sisi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.