KWA MWAKA WA FEDHA WA 2016/2017 PEKEE VIMEAHIRISHWA VIKAO 5 KUTOKANA NA MADIWANI. KUGOMA KWA MADAI YA KUINGILIWA NA KUBURUZWA NA SERIKALI KUPITIA MKURUGENZI WA JIJI.
WAFANYA BARAZA LA KUFUNGA MWAKA BILA TAARIFA ZA ROBO YA 3 NA YA 4 KWA KUGOMEA VIKAO HIVYO KWA LENGO LA KUIKOMOA SERIKALI...
MBUNGE LEMA NA NAIBU MEYA WAMUONYA MKURUGENZI.
Kwa mara nyingine madiwani wa kamati ya fedha jijini Arusha leo wamegomea kuendelea na kikao cha robo ya nne cha kamati hiyo kwa madai kuwa hadi wafanye kikao cha robo ya tatu kwanza ambacho pia walikigomea mwezi April mwaka huu. Wajumbe hao...
TANGAZO
WANANCHI WOTE WA JIJI LA ARUSHA
MNATANGAZIWA KWAMBA ,KUTAKUWA NA
MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA
MADIWANI UTAKAOFANYIKA TAREHE 05.09.2016
KWENYE UKUMBI WA ARUSHA SCHOOL KUANZIA
SAA NNE ASUBUHI. WOTE MNAKARIBISHWA.
IMETOLEWA NA:
MKURUGENZI...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe Mrisho Mashaka Gambo na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na
Usalama ya Mkoa akizungumza na waandishi wa habari leo 31 August 2016.
Na Mwandishi Wetu - Arusha.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Mashaka Gambo ambaye pia ni mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya...
Na Mwandishi Wetu - Arusha
Madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Arusha wamevunja kikao cha Baraza la Madiwani kilichokua kinafanyika leo asubuhi 29/08/2016 kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa maslahi ya chama chao (CHADEMA) na kutupilia mbali shida na kero za wananchi waliowachagua...
Mnyonge Mnyongeni, lakini Haki yake Mpeni.
Inaelekez wewe ndiye MRATIBU wa SHGHULI za CCM na MAWAZIRI . Anayeitwa Mzee Wassira hajakanyaga Uchaguzi huu Arusha, na kama ilivyo jadi yenu ya kutaka KUWAAMINISHA watu UONGO hali unajua WAZI kuwa unachokifanya au kuandika ni uongo bado UMENGANGANIA...
AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO:
CHAMA CHA MAPINDUZI , kinaendeshwa kwa mujibu wa KATIBA na KANUNI.
Suala la kuwa Mzee edward anampiga vita Ktb wa CCM Mkoa , halina mshiko na wala siyo la KWELI. Acheni kumuhusisha Mzee edward na mambo yasiyokuwa na MSHIKO. Mzee lowassa anamheshimu Katibu...
The more you read and observe about this Politics thing, you got to admit that each party is worse than the other.The one thats out always looks the best.
:flypig:KIDUMU CCM:flypig:
muogopeni mungu ! acheni mchezo wa kuigiza. Mfa maji haachi kutapatapa,mtaandika sana, lakini mwenye macho haambiwi tazama,kama siasa zimewashinda nendeni shambani mkalime.
Wafuasi wa CDM walio wengi wamefanana kabisa na wamachinga wa kariakoo, wamejaa ushamba wa kupiga miluzi na kulia uchuro... ovyo kila waonapo kijani. Wana akili hawa ?
MZEE NASSARY (mwenye suti nyeusi) NA MAMA NASSARY (aliyefunga kilemba cheupe) WAKIWASILI KWENYE MKUTANO WA KAMPENI WA CCM KATIKA KITONGOJI ALICHOZALIWA NASSARY KWA NIA YA KURUDI KUNDINI ....
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ,Profesa Anna Tibaijuka, sisi ni wakulima na wafugaji wa vijiji vya Kiserian, Olkerian na Nduruma, katika Kata ya Moshono na Mlangarini jijini Arusha.
Tunakuandikia barua hii kwa masikitiko kukujulisha manyanyaso na mahangaiko tunayopata baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.