RUTUNGA!! kama umeweza kunisoma katika kuwajibu wadau maswali yao ni kwamba ni freelancer i got no office right now,
2.number ya simu hata ya mezani???? (sina simu ya mezani ninayo hii 0789100900 nadhani inaweza kuwa na mawasiliano pia) pia usikariri masimu ya mezani tu ndo ikuhakikishie unaweza...
Kaka kiiza mie napatikana Arusha ni fleelancer Agent na ninadeal na JIMEX LTD pekee nadhani kuna watu ambao wameshaagiza magari from this company naomba kutowataja but kama mtu atakuwa free yeye mwenyewe kujiweka hapa anaweza kutoa as reference, ninachoweza kukuhakikishia ni kwamba utapata gari...
Sijasema kuwa bei ni siri nilichomuuliza anitajie anahitaji trecta aina gani maana alichokisema ni sawa na kusema nataka suluali, suluali ziko nyingi na zina saizi tofauti ndio maana nimeuliza/kusema ani email au anaweza kuweka hapa na akapata bei hapa hapa no secret,
mkuu
Kaka kiiza naomba kwa hili nikuulize kama ushawahi kudeal na JAA inspection maana wao kama gari imerudishwa KM wanagundua kwa sababu wanavifaa vya kugundua gari iliyorudishwa nyuma na mara nyingi gari zinazorudishwa nyuma nyingi hutolewa Japan zinapitia Dubai so dubai watu wengi ndo...
kaka kiiza naomba nikushukuru kwa swali lako kama mdau hapo chini alivyokujibu ni kweli kwamba kutokana na utandawazi uliopo inakuwa ni vigumu sana kufanye setup ya office kulingana na gharama za uendeshaji ninachotaka kukuhakikishia ni kwamba ninahakikisha unapata gari ambalo ni zuri na...
Rutunga kwanza kabisa naomba nikujibu kama ifuatavyo magari mengi tunayouza inategemea na option ya mtu lakini kama Jimex ltd. magari tunayowauzia wateja ni yale ambayo yanakidhi ubora wa kutumiwa maana kuna magari ambayo ni grade mbovu ambayo hata JAA inspection huwa hayapitishi so kuhusu ubora...
Waungwana naomba kuwajulisha na kuwaomba support yenu kwa mtu ambaye anahitaji kuagiza gari toka japana naomba ani pm au ani e-mail kwa n.config@gmail.com mie ni agent wa hii kampuni kwa Tanzania, Grade ni nzuri na bei pia ni nzuri tafadhali tembelea Jimex Co., Ltd.
Kama una swali lolote uliza...
Brand new Toshiba external drives kwa bei poa 320GB only for 120,000/= 500GB for 130,000/= kwa anayehitaji ani PM au e-mail n.config@gmail.com
Karibuni
kuna njia mbili tatu za kutatua hilo tatizo inategemea kama ni Admin password au ni normal user password, kuna software ya kuweza kuboot nayo command line interface than unareset hiyo passord au kuna njia ya kuweka OS cd kama ni xp unafika sehemu ya kuripair kisha una press F10 then unaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.