Mwaka huuu tutaona na kusikia mengi. Nadhani kwangu mimi hoja zote tunahitaji majibu yake.kuhusu madawa ya kulevya kazi nzuri inaendelea kufanywa na mr.sianga. hii nayo ya vyeti nayo twahitaji uchunguzi au mtuhumiwa ajitetee ili tujue ukweli ni upi.
HIvi nnyi kwanini msitembelee wavuti ya chuo kulikoni kubishana pasina data? udsm kuna vingi mfano: cumpus colleges,Constituent Colleges,Schools, insitutes, centers,Bureaus etc. mfano
Campus Colleges
College of Arts and Social Science (CASS)
College of Natural and Applied...
nina mambo mawili yanaumiza akili yangu.
1. mimi nakunywa sana maji hadi najiogopa. mf. asubuhi kabla sijapiga hata mswaki naweza kunywa hata lita1 ya maji. kufika jioni naweza kunywa karibu lita karibu 5 au 6
2. je, kuna athari gani kunywa maziwa mengi? mimi nakunywa kwa siku karibu lita 1 ya...
RFA News leo saa 6:30 mchana, alikuwa akienda mwanza kufungua mashindano ya Afrika Mashariki ya mchezo wa vishale na hiyo kupata ajali eneo la mlima pasua kijiji cha Nanga wilayani Igunga mkoani Tabora. amelazwa katka hospitali ya wilaya ya nzega mkoani humo.
aje mwenyewe kwa nini atumie mtu wa 3 na yeye ni msomi tena ana diploma? acha kuchekesha wewe. hivi ninyi suala la kuoa mnaona ni kama suala dogo sana kama ambavyo serikali ya mr.dhaifu inavyochukulia suala la ufisadi.
kaka mbona unaanza kwa kumlaumu zitto kwanza kabla ya kueleza kwa kufafanua zitto anahusikaje? ili nasi tuone kuwa zitto kweli anahusika. kwa hili kunahitajika hekima na busara kwanza . ogopa kuongea ukiwa na hasira au furaha zaidi kwa maana yawezekana unahasira na mtu vile. au kuwa na rafiki...
JINSI YA KUTUMA PESA KWA VODACOM M-PESA KUCHANGIA CHADEMA KWA M4C
*150*00# Ok!...........>pay bill............>enter business no(111333)............> enter reference no.( your mob.no.)............>Amount ...........>enter PIN......>enter 1. to comfirm.........>ok!
1.kiswahili kitumike kufundisha shuleni. vidudu hadi chuo kikuu
2.uchaguzi uwe siku yeyote ile isipokuwa jumapili, ijumaa au jumamosi
3.kuwe na bodi ya ajira
4.pasiwepo mkuu wa wilaya au mkoa, mkurugenzi anatosha
5.mamlaka ya rais yapunguzwe
6. rais mstaafu aweze kufikishwa mahakamani kama...
mimi napata kigugumizi kidogo kuona watu wanashindwa kuleta hoja za maaana humu ndani za kusaidia taifa letu badala yake "......oh...kasomea udsm!... sijui nini!..." .hayo yote hayana maana. uwe umesoma udsm au hukusoma udsm hata hukwenda kabisa shule si suala la sisi kubishana.kimsingi UDSM ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.