Wewe mwenye maswali ya kikubwa ungetuwekea swali la kikubwa hapa kuhusu uchumi unavyodidimia ili upimwe na wanazuoni hapa kama wewe ni zaidi ya mbowe au la?
Ukiona mboga mboga wanaungana kupitia ofisi yao ya lumumba kumtetea profesa Lipumba ujue huo ni mpango mwingine wa hujuma 2020. Lipumba baki na uanachama kwenye uongozi huna sumu tena kama Freeman Mbowe alivyo tishio kwa sisiem.
Mwakyembe alikuwa yule wa zamani kabla hajaenda kulazwa India, huyu Mwakyembe wa sasa sijui amewekewa chip ili awe anasema asichokijua, au alikuwa stable kipindi hicho kwasababu alinyimwa uwaziri na baba riz aaah! Inauma sana kama wasomi wetu watakuwa wanasahau taaluma zao kama huyu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.