Nimesoma kama mara 5 hivi sijaelewa huyu anamaanisha kitu gani hapa. Kweli Elimu yetu imeoza. Yaani mtu anashindwa hata kuandika sentensi moja ya kiswahili ikaeleweka?
Sent using YOUR Phone remotely from ME
Waingereza Ni watu Reasonable kulinganisha Na Hawa wakoloni Mumiani tulio nao.
Kuilinganisha Mambo ya Wazungu Na Hawa Manyani wa sasa Ni kulinganisha Usingizi Na Kifo.
Sent using YOUR Phone remotely from ME
Muafrica mwenyewe hajawahi kuwa Na Plan zozote kwake mwenyewe.
In fact plan Ovu alizokuwa nazo Mzungu zimeifikisha South Africa Ilipo Na Congo iliyopata uhuru 1960's Imebaki kama unavyoiona
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje Mimi Ni Kamanda?
Wapi Nimeshoboka?
Kwako kitu kisicho cha kawaida kikoje?
Wapi nimesema hamna Mtanzania mwengine mwenye Uwezo huo?
Kwa Kipimo gani sasa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako wewe mungu Ni nini?
Umejuaje Kuwa Mimi Ni mtu kama wewe?
Hamna Niliposema Anatisha.!
Kuna Maswali yasiyojibika?
Tatizo langu Mimi Na nani?
Umejuaje napenda vilivyo duni?
Nani kasema Alichosema Lisu sio cha kawaida. Kisicho kawaida ndio kikoje kwanza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu sampuli hiyo Ndio Hawatakiwi Na CCM ya sasa Na wanawindwa kama Swala.
Huyo January anatembelea Kwenye Waya kwenye Wizara isiyo Na changamoto zozote za maana Na Uhakika wa kutoboa amaliza this term Ni 40%.
Huyo Mwengine hata Simjui siwezi kumjadili kabisa
Ambacho unajitoa akili kutoelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.