Nawasalimu wote
Nilimuoa mke wangu wakati akiwa na mtoto mkubwa wa darasa la saba, Mimi nimezaa nae watoto wawili, tulifunga ndoa bomani kutokana na utofauti wa dini
Tatizo linaloninyima usingizi ni huyu mtoto wa wife, amekuwa na tabia zisizofaa, wakati tunafunga ndoa makubaliano yalikuwa ni...
Tulioana mwaka 2009 baada ya kukaa kwenye uhusiano kwa miaka 2.Baada ya kupita miaka miwili bila kushika mimba nilimuomba aende kucheki kwamba tatizo ni nini, baada ya vipimo akaniambia kwamba amekutwa na tatizo dogo tu na kupewa dawa hivyo tuendelee kumuomba Mungu,
Miaka 2 ikapita tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.