Vipimo
Kuku - 3 Lb
Mayai - 6
Baking Powder - 1 kijiko cha chai
Pilipili boga - Robo kipande
Kitunguu maji - 1 kidogo
Pilipili manga ya unga - 1 kijiko cha chai
Kitunguu saumu(thomu) na Tangawizi - 1 kijiko cha supu
Chumvi - ½ kijiko cha chai
Mafuta ya kuchomea
Namna ya kutayarisha na...
Mahitaji
Unga wa ngano kilo 1
Amira vijiko 2 vya chai
Sukari vikombe viwili vya kahawa
Vanila ya unga nusu kijiko cha chai
Chumvi nusu kijiko cha chai
Nazi 1 tui zito
Mafuta lita 2
Maelekezo
Chemsha mafuta mpaka yachemke, weka unga kwenye bakuli au sufulia.
Weka chumvi, amira changanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.