lazma mjue tukizungimzia ugumu wa kozi lazma ujihoj ukilinganisha na ipi mfano BAED VS PSPA hapa baed ndo itakuwa ngumu PSPA VS SOCIALOGY hapa pspa lazma washinde kwa ugumu huwez ukacompare BAGE na socialogy oviosly Socialogy itakuwa Bata zaid huo ndo ukweli after research
Natumaini wote humu ndani hamjambo napenda kuchukua nafasi hiii kuelimisha umma hasa kwa wale wanaopenda kuomba nafasi ya masomo katika chuo kikuu cha dodoma hasa katika college ya biashara na uchumi, pamoja na sanaa na lugha. kwanza kabla ya kuomba nafasi ya chuo ni lazima utambue kwamba katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.